:eyebrows:nahisi mtoa mada hajaoa.ama bado teenager.upuuzi mtupu.
mtu na heshima yake awe mume/mke hawezi kutoa siri yake ya ndani kusema anatoshelezwa ama atoshelezwi
ndo mana wazee wa zamani walikuwa na unyago kwa wote.he/she bila kubagua.:hat:
poleni staff wa voda kwa presha hyo,nasikia na TICTS kushanuka,watu km 40tyr wamepigwa chini,barua walizopewa za kujihusisha na mgomo wakiwa ndo vinara w
a uchochezi.NCHI HII WAWEKEZAJI NDO WANATHAMINIWA WANAFANYA WANAVYOTAKA.EE MUNGU FANIKISHA SLAA KUKAA MADARAKANI
cku hizi utakuta mke na mume wana ,majukumu sawa,wote wahangaikaji na wanahudumia familia sawa,lakini bwana anataka awekewe naji,atayarishiwe nguo,bado kufuliwa chupi,na watoto wanakutizama,unyumba hujampa bado.looo na kiuno kisipokatwa shaur ya uchovu nako mwasema analala km gogo.jamani...
mm nashindwa kuelewa,kila cku clouds clouds clouds,km huipendi si usisikilize,tune wapo.radio 1,praise power etc.mnaipenda ndo mana mnawasikiliza,na wenyewe wanajuwa hivyo,asilimia 60 ya watu wanaoenda maofisini asbh ama jioni kurudi iwe kwenye daladala ama magari binafsi wanatune clouds,huo ndo...
hyo rate ni sawa kbs..ndo clearing tunavyochajiwa bandarini specialy ticts,mana ticts collector wao ni citybank.na hawa citybank ni commercial bank ambayo iko chini ya BOT,ambapo rate ya
BOT ni ndogo ukilinganisha na hz commercial bank,sijajuwa hapa uwepo wa BOT katika kucontrol hz commercial...
mimi naomba nikueleze ukweli kabisa,mana mm ni muhusika,nilifanyiwa operation km mkeo,normally kidonda cha operation siku 7 tu unaona dalili ya kuanza kufunga,hiyo ilitokea kwangu na hata hat watu wangu walionizunguka,siku namtoa wanangu nje,usiku nikampa mwenzangu,ingawa naye alijuwa kwa hiyo...
kweli kabisa,fikra zako km zangu,nikishafikiria sasa nat......bwa bs aaaa basi lazima nifike,na nikiona nakalibia na hali bado nahitaji msubiri mwenzangu,nachomoa natafuta style nyingine,kumbe pale inasaidia km kuanza moja,hahahahahha i lv jf
Kwanza nakupa pole mdada.nna rafiki yangu anatatizo km lako.kila mvulana aliekuwa anamuapproach.alikuwa anachek mfuko wake.anasema kwao maskni nae hatak mtu maskn.umri umeenda sasa.rafiki zake sote tumeolewa na tuna watoto.yeye yupo analilia ndoa sasa.cha kujifunza bora uolewe na umpendae.pesa...
Mkuu umenena.mimi ni mdau wa bandari.kabisaaaa.na ni muhusika.kinachonishangaza mimi,kuna proposal ilitolewa kipindi kile cha congestion bandarini.na kukawa na mzozo sana,kuwa.hz bandari kavu yani ICD'S km hyo hapo tabata AMI.ama Trh n.k.ziingie ubia na bandar.yaan TPA ama TICTS.hawa...
mm ni muathirika wa huo ugonjwa pia,
kama wadau walivyoshauri hapo juu,ugonjwa huu asilimia kubwa pia unaambukizwa na mazingira ya choo tutumiavyo,mwanamke sehemu zake za siri ziko tofauti na mwanaume,hivyo kufanya vijidudu kupenya kwa urahisi na kusababisha UTI,
kingine ni usafi tu wa mwili kwa...
dawa ni moja tu hata ule vyakula vyote bila diet wala matunda.JUICE YA UKWAJU, asbh kabla hujala kitu chochote,mimi huwa nnatengeneza wk end,naweka kwenye friji napiga asbh km 2 hivi,nikirudi hm jioni naweza piga nyingine wakati wa kula,ama asbh tu nikinywa 2 zatosha,mchana lazima niharibu...
hafadhali wizi wa voda kuliko tigo
wanadai ukope salio,halafu lile salio utaweza piga na kutuma sms bila shida.mbona haiwi displayed pindi ukiuliza balance kama salio zingine? ukimaliza piga simu ama kutuma msg basi kuna msg inakuja inasoma salio lako limebaki kiasi gani!!!!!! SI WIZI HUU,???
na...
hivi wafanyakazi wa sekta binafsi sio watanzania? hawapigi kura au? mana wenyewe walipie kodi allowance zao.wafanyakazi wa serikali no!!!!! how come!!!!
nauli za likizo zakatwa kodi
bonus pia zakatwa kodi
wakati huohuo wenyewe wabunge allowance zao zote hazikatwi kodi,na sasa bajeti imekuja...
jamani hata hiyo 30,000 ni nyingi,mm nna mtoto mmoja wa mwaka,lakini kumpunguzia kazi nimeamua kutafuta wa2,mmoja afanye shughuli za nyumbani mwingine mtoto.kufua kwenyewe watoto wanavaa pamper kazi zinapungua mtu hufui sananikimpa yeye hata hiyo 60,000 peke yake na adeki,afue,amuangalie...
ni kweli jamani warudishe africa bambataa ndo mana hata matangazo ya biashara yamepungua hasa jahazi na amplifier duuuuuuuuuu
kusaga fanya uchunguzi wa hilo,wanaotoka makazini wanataka kuburudika sio kusikiliza bored vipindi bwana :bored: :bored: :bored: :bored: na ukizingatia uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.