Habari wadau.. Fundi ninae mtegemea kasafiri na dish langu lilicheza kidogo, Nimejaribu kuliweka sawa ila signal napata intensity 80% na signal 45%, kuna Baadhi ya channel chache hazioneshi na zingine Zote zipo vizuri na hazigandi, sasa kuna jamaa Kaja ananambia Itakua ni wire, ila kabla...
Naomba aliekua na contact Za Dar Group anipe Tafadhali.. Ni me Google land-line hawapokei.. Na Shida na Dr Elibarick kama bado yupo.. Dr wa mifupa ..au jus direct contact... Asanteni
Wana jamvi habari za sikukuu, nimekosa mdaa WA kwenda movie kuangalia movie ya jumanji.. Naomba aliekua nayo anitumie link ya kudowload... Or watch online... Asanteni week end njema
Kwa wale wanaofaham... Naomba kuuliza Kama kuna fta Chanel zinaweza kuongezwa kwenye muelekeo wa Dstv... Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina shida kumuoa ukizingatia yafuatayo.:
1) kama unampenda na anakupenda..which means usije kutamani mchepuko...
2) Ujiamini na ujielewe kama we mwanaume from now
3)uwe Tayari kuanza kutafuta kazi sehem nyingine which in 1-2 years msiwe pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.