Hakuna uadui hapo ila ni kama jamii zimetenganishwa hivyo kila jamii inatakiwa iwe eneo lake mfano mzuri zambia,malawi na Zimbabwe pia zilikuwa taifa moja matokeo yake raia wa malawi aliwahi kuwa rais Zambia sio kwa nía mbaya
Kabla ya mwaka 1919 Tanganyika,Rwanda na Burundi zilikuwa taifa moja labda hicho kinafanya hizi nchi tatu kuwa na uhusiano wa karibu sana kuliko mataifa mengine ya jirani kwahiyo wana jaribu kuona kama kunamasalia
Mimi naona tatizo sio kutumia nguzo za miti tatizo wale wanaotengeneza nguzo za zege kuficha bei ninahakika hata mleta mada hujui unategemea kupata wapi Mteja, tubadilike weka wazi bei wateja tupo wengi sana
Kiasi amejitahidi, ukweli ni Kwamba hakuna kabila la kisukuma ila sukuma ni upande wa kazikazini kwahiyo wenyeji walitambuana kutokana na upande unakoishi hivyo basi pande nne za dunia ndiyo ulileta kabila la wasukuma, tukianza na SUKUMA ni KASIKAZINI yaani SENGEREMA, MWANZA, DAKAMA ni KUSINI...
Mwemwemwe, Mungu hakukosea kuweka mkono wa sweta, Leo watu wanahangaika na kondomu ukiwa na mkono wa sweta unavuta kidogo unafunga rubber band yako, twende kazini. Tayari umeweza uzazi wa mpango,
Huna haja ya salama wala dume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.