WATUMISHI WA UMMA NCHINI TUNAKUSHUKURU RAIS SAMIA, TUDAI TIJA KAZINI NA KURA 2025
Sisi watumishi wa umma nchini tunasema haya kwa sababu umetufanyia makubwa, umetuonesha upendo, umeonesha kutujali na kuguswa na changamoto zetu. Tangu umeingia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan umetufanyia...
VIONGOZI WANGU WA KANISA KATOLIKI, SHIDA NINI?
Ukimsikiliza Katibu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padre Dk. Charles Kitima na ukaunganisha na kauli za Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Mhashamu Yuda Ruwaichi unaona moja kwa moja viongozi hawa wanavyojielekeza kuupinga msimamo wa...
Walatini wana msemo wao mmoja nami nataka niuweke kwenye kiswahili kisicho rasmi, .Mahakama ya haki hufuatwa na wenye mikono safi. Hili halihitaji ufafanuzi, linajieleza na linaeleweka. Ila tu kwa watu wapenda mifano iko hivi, ukienda kumshtaki mtu kwa kesi ya kuiba kuku huku nyuma Mahakama...
CHADEMA NA ACT WAZALENDO ACHENI UTOTO
Kuna kamchezo kakipuuzi sana wanasiasa wa upinzani Tanzania wanakafanya kila uchaguzi mkuu unapokaribia. Jamaa hawajali madhara wanayotusababishia sisi wanachama wa vyama vya upinzani tunaoamini ipo siku tutaitoa CCM madarakani na kufanya mageuzi ya...
*HIVI CHADEMA TUPO SIRIAZI KWELI?*
07 Juni, 2020
Minong’ono ya muda mrefu hatimaye leo imekuwa kweli kwamba Tundu Antipas Lissu aliyejificha ughaibuni baada ya kushambuliwa vibaya kwa risasi Makao Makuu Dodoma anaandaliwa mpango wa kugombea kiti cha urais kupitia CHADEMA.
Kwamba, mkakati...
*CHADEMA na ACT Maendeleo.*
Mimi ni mpenzi wa siasa na niliyefurahishwa sana na siasa za Tanzania, kuanzia chama kimoja yaani kabla ya mwaka 1992 na baada ya kuanza kwa vyama vingi ambavyo uchaguzi wake wa kwanza ulifanyika mwaka 1995.
Naomba nikiri kuwa nilipendezwa sana na siasa za upinzani...
*BABA ASKOFU NIWEMUGIZI UNATUKWAZA SANA WAKATOLIKI WA RULENGE-NGARA.*
Ni wiki ya pili leo naonja machungu ya kutokwenda kanisani kusali ibada ya Jumapili. Ni kutokana na agizo la Baba Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara aliyeamua kusitisha ibada za Jumapili Makanisani...
*The Disturbing Silence Of Dar US Embassy Over New COVID-19 Case*
By Advocate John Kimbisa, Dar
Early today we learnt that a U.S citizen is among those confirmed with positive test for corona virus in Tanzania. This comes few days after his arrival from an unnamed destination.
It ought to be...
*UBALOZI WA MAREKANI, MBONA KWENYE HILI LA RAIA WENU KUINGIA TANZANIA AKIWA NA CORONA MMEKAA KIMYA?.*
Jana raia mmoja wa Marekani mwenye umri wa miaka 61 ambaye ni mfanyakazi wa Ubalozi wa Marekani hapa nchini Tanzania amekua mtu wa pili kuingia nchini Tanzania akiwa na virusi vya ugonjwa wa...
Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali...
WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI
22 Februari, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake Mkoani Mtwara kuelekea jimbo la Ndanda kupitia jimbo la Mtama, wazee wameshindwa kuzuia hisia zao kwa Rais Magufuli kwa kuonesha nia...
CHADEMA HOI IFAKARA
13 Februari, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameanza Ziara ya siku tatu Mkoani Morogoro ambapo katika mkutano wa ndani, madiwani watatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ifakara wamejivua uwanachama wa CHADEMA na kujiunga na...
DKT. BASHIRU AKABIDHI MSAADA KWA MZEE MSTAAFU
05 Februari, 2020
Katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally amekabidhi vifaa mbalimbali ikiwemo mashine ya Kuchapa yenye thamani ya shilingi milioni moja na laki tano kwa mzee Shabani Kanijo...
DKT. BASHIRU: MWENYEKITI NA KATIBU MKUU HAWANA WAGOMBEA
18 Januari, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ameweka bayana kuwa wanachama wote wanaotarajia kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi Mkuu wana haki sawa, na hakuna mwanachama wa Mwenyekiti wala...
17 Januari, 2020.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amevitaka vyama vya upinzani nchini kujiandaa mapema kukubali kushindwa kama ambavyo CCM ilikubali kushindwa katika baadhi ya majimbo mwaka 2015.
Ameeleza kuwa CCM ikishindwa huwa inakubali kushindwa kama ambavyo...
Siku ya tatu ya ziara ya Dkt. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tanga, imezoea upinzani ambapo madiwani Nane wa CUF wamekihama Chama hiko na kujivua nafasi zao zote na kujiunga na CCM.
Uamauzi huo wameufanya katika mkutano wa ndani wa Katibu Mkuu wa CCM alipokuwa...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewakumbusha baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini maana halisi ya uchaguzi ni maamuzi ya Umma si kama ambavyo wamekuwa wakieleza kwa kupotosha kuwa, uchaguzi ni namba.
Ameyasema hayo tarehe 13 Januari, 2020 alipokuwa akihutubia...
DKT. BASHIRU AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUWAANDAA WANANCHI KUPOKEA MABADILIKO
03 Januari, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameungana na waumini wengine wa dini ya Kiislamu kushiriki Ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mkoa uliyopo Manispaa ya Bukoba, ambapo...
02 Januari, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bahiru Ally amesema kuwa, CCM mwaka 2020 itaongoza siasa safi za uchaguzi, ni mwaka wa kudhihirisha CCM inaongoza siasa safi na kuheshimu maamuzi ya Umma kama ilivyofanya mwaka 2019.
Dkt. Bashiru ameeleza kuwa, CCM itakuwa mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.