"Makongo ilikuwa kipindi cha Col. KIPINGU, alivyotoka tu, na baadhi wa walimu 'vichwa' wakadorora na wengine wakaondoka. Zile adhabu za kuchimba visiki barabarani asubuhi na mchana wakati jua lachoma...zilikuwa zinasaidia na kurudisha wanafunzi kwenye mstari.
MAKONGO ya Col Kipindu ilikuwa...
Ndugu yangu, katika Utumishi/Kazi yoyote kuna level...kuanzia assistant officer hadi Mkurugenzi. Na kila ngazi inataka ELIMU NA UZOEFU WAKE kulingana na Scheme of Service ya taasisi husika.
Sasa mnaposingizia sijui wazee, sijui vidingi...we unataka nafasi ya Mkurugenzi/Meneja akae mtu ana...
kaka umemaliza...ni wendawazimu kujifanya eti kuna freemason...watu wauza unga wote wanasingizia sisi ni dini ya freemason...ili wananchi wa kawaida wasijue...
Aisee wananchi wamechachamaa huku Bihar palipotokea maafa. Nipo karibu na mji huo, ila SERIKALI ya mji inasema chombo cha kupikia ndo kilikuwa na mchanganyiko na mmiminiko wenye sumu.
Mazishi ya Kitaifa- State Funeral ni kwa ajili ya MALKIA au Mfalme au mwana mrithi wa Ufalme wa Uingereza.
PM hupewa Ceremonial Funeral, na ndio hiyo aliyopewa Magreth T.
Hallow dear folks and technocrats.
Am looking for the Training Center or Institution in Dar es Salaam which is conducting review program or training on Certified Information Systems Security Professional (CISSP).
Any one with credible information, please help!
Regards.
My contacts:
Mail...
Hallow dear folks and technocrats.
Am looking for the Training Center or Institution in Dar es Salaam which is conducting review program or training on Certified Information Systems Security Professional (CISSP).
Any one with credible information, please help!
Regards.
My contacts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.