Search results

  1. Joninho

    Nimetuma pesa kwa Wakala asiyestahili, naombeni msaada wa jinsi ya kumfikia

    Naomba msaada anaeweza kunisaidia kumfikia wakala huyu VODACOM LIPA NDAYAVUGWE EUSTACE MANYAGA 5999506 Nililipia bidhaa nikakosea namba moja nikalipa kwake. Nimekosa msaada huduma kwa wateja hivyo kabla ya kuchukua hatua zaidi naomba anaeweza kumfahamu anisaidie wadau. Umetuma TSh 135,000...
  2. Joninho

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Hii full moon imeshaisha au leo inaendelea
  3. Joninho

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Mkuu naomba no yako kama hutojali
  4. Joninho

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Mkuu hii kufuli unailoweka na mkojo wa asubuhi pia? Inalowekwa kwa muda gani kabla ya kuitupa?
  5. Joninho

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Mada nzuri barikiwa mleta uzi.
  6. Joninho

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba kama una ya jamaa anajiita 1xbet cash. Huyu ananiletea mapicha pichatu
  7. Joninho

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naombeni namba ya wakala wa 1xbet wadau
  8. Joninho

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    22bet sikuizi haipo wadau
  9. Joninho

    Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

    Sabuni za unga, maji, mnara na dawa za usafi.
  10. Joninho

    Wahitimu wa Vyuo Vikuu Tanzania na mtazamo hasi dhidi ya ajira na kujiajiri

    Serikali serikali ukitaka mkopo wa halmashauri Hadi muunde kikundi halafu kwenye kikundi kila mtu anarejesho lake hii sio kabisa serikali iondoe huu urasimu wa vikundi ikopeshe vijana kwa dhamana ndogo. Serikali Ina mkono mrefu kwanini inang'ang'ania Mambo ya vikundi iwape vijana mitaji...
  11. Joninho

    Wahitimu wa Vyuo Vikuu Tanzania na mtazamo hasi dhidi ya ajira na kujiajiri

    Mkuu vijana wa nchi hii wanajituma Sana na kwa bidii kubwa Sana fanya uchunguzi tena, wengi hawawazi Tena ajira wanapambana kitaani Ila Mambo bado ni magumu, Sisemi serikali itoe ajira kwa vijana wote Ila AMINI NA KUAMBIA NA KUWAAMBIENI hatupaswi au hampaswi kutulaum vijana wa mama Tanzania...
  12. Joninho

    Man United yamsaliti Mason Greenwood

    Rafiki wa kweli ni muda.
Back
Top Bottom