Serikali serikali ukitaka mkopo wa halmashauri Hadi muunde kikundi halafu kwenye kikundi kila mtu anarejesho lake hii sio kabisa serikali iondoe huu urasimu wa vikundi ikopeshe vijana kwa dhamana ndogo.
Serikali Ina mkono mrefu kwanini inang'ang'ania Mambo ya vikundi iwape vijana mitaji...
Mkuu vijana wa nchi hii wanajituma Sana na kwa bidii kubwa Sana fanya uchunguzi tena, wengi hawawazi Tena ajira wanapambana kitaani Ila Mambo bado ni magumu,
Sisemi serikali itoe ajira kwa vijana wote Ila AMINI NA KUAMBIA NA KUWAAMBIENI hatupaswi au hampaswi kutulaum vijana wa mama Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.