Hi wandugu mara nyingi natumia laptop kuangalia mpira kutoka kwenye baadhi ya website kama vile thefeed2all. eu rojadirector nanyingine nyingi lakini nilipenda kama ningeweza kuangalizia mipira hii kwenye smart tv LG. lakini kila nikifungua website inakubali lakini inapotaka kuanza kuplay hiyo...
Wadau naomba msaada kwa wenye ufahamu mimi natumia window 8 + samsung note 3 lakini na shida moja kila napo chagua file 10 kutuma kwenye computer inanitaka ni click kila file linapokuwa limeenda moja moja basi kinatokea kibox kikinitaka niclick tena na tena kila baada ya file inamaana kama ziko...
OZALA MAYELE NONSTOP MIX 80 MIN
tambola na mokili ozala mayele mix final(2)
Pia enjoy nyimbo za south africa za zamani
south africa collection
http://www.mediafire.com/listen/15zub07y95jfh8r/SOUTH_AFRICA_MIX_AUGUST_2010.mp3
pia enjoy 90 min nyimbo za zamani za 1990...
Hi naomba msaada kwa anayejua kuhusiana na wapi na muda gani mnada wa tra Utafanyika wa kuuza magari ya sbt japan ambayo yameshindikana kukombolewa bandarini nili pata dodoso tu kuwa ni kesho mwenye habari kamili please anisaidie kujua
Nauza kiwanja bagamoyo mjini eneo la nia njema kina hati ukubwa
ni 79/50 sawa na hakari moja pazuri kwa kujenga hotel ,hospital ,chuo
bei 60,000,000/- mazungumzo yapo
simu no 0785070856
Tupo wengi ambao tunaagiza magari lakini tunakuwa na mashaka juu ya ushuru wa customs unakuwa ni wa asilimia ngapi au bei gani kulingana na gari uliyo agiza hapa kuna mwangaza jinsi ya kupiga mahesabu hayo nakujua ushuru utakuwa kiasi gani
jinsi ya kucalculate ushuru wa gari
xmass song 2013
wale ambao hamkubaahatika mwaka jana kusikiliza nyimbo hizi za xmass basi ni wakati mwingine tena
wa kuweza uzidownload na kusikiliza katika kipindi hiki cha xmass
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.