Habari ndugu zangu
Naomba kufahamishwa ingawa sijasoma sheria najiuliza sana kuuliza kuhusu suala hili la Mawaziri na Manaibu Waziri katika kipindi cha maswali na majibu mbunge akiuliza swali.
Kuna baadhi ya Manaibu waziri na Mawaziri wanaenda pale mbele karibu na Spika na kujibu lakini...
katika kulea watoto wetu kuna umuhimu wa kuhakikisha mtoto anakuwa anaishi katika mazingira mazuri ambayo sio hatarishi kama vile umemuacha mtoto mdogo na ndogo umeacha bila hata ya kuzba mfuniko
sasa huyu mtoto kaachwa ndan na waya wa extension upo ndan na unaumeme anaanza kutafuna...
Mimi ninatarajia kununua pikipiki tarehe 28/01/2016 sasa nilikuwa naomba kama nitapata dereva na aniambie anahitaji pikipiki aina gani tuweekeane mkataba nimnunulie aanze kazi kwa mkataba wa mwaka na pikipiki inakuwa yake .
Kama unamfahamu mtu yupo tayari mwambie mawasiliano 0783966466 au...
kwa mara kadhaa nakuwa nahuzunishwa sana na wasanii wa mziki hasa kwa instagram yaan unakuta msanii amepost kitu umelike na kucomment na umemtag kwa kumuuliza kitu lakin hakujibu
nimeshanga sana leo tarehe 7 mwez wa saba 2015 kuna msanii anatoa wimbo kesho tarehe 8 sasa kila superstar...
Kuna jambo huwa nawaza sana katika maisha ya sasa ya kitanzania watu wengi wananunua magari lakini sehemu ya kuyalaza hawana . Wengi wao wanaenda kuyalaza kwenye sheli za mafuta kwa kudhani huko ndio kuna ulinzi sana lakin ukweli ulinzi upo na uhakika kwa usalama ni mkubwa sasa.
Umewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.