Tukumbuke kuwawekea watoto mazingira salama na mazuri kwao

mhuni

JF-Expert Member
May 30, 2015
955
592
katika kulea watoto wetu kuna umuhimu wa kuhakikisha mtoto anakuwa anaishi katika mazingira mazuri ambayo sio hatarishi kama vile umemuacha mtoto mdogo na ndogo umeacha bila hata ya kuzba mfuniko

sasa huyu mtoto kaachwa ndan na waya wa extension upo ndan na unaumeme anaanza kutafuna tujifunze sisi wazaz
R.I.P MTOTO
 

Attachments

  • 1459707164302.jpg
    1459707164302.jpg
    39.6 KB · Views: 20
Mmh hatari! Kuna mmoja alifia kwenye ndoo ya maji baada ya kuingiza kichwa na kushindwa kutoa!
 
Back
Top Bottom