Nipo Mwanza sijui wewe upo wapi au kama una connection na Dr aliopo mkoa niliopo utakua umenisaidia. Kuna baadhi ya hospitals nilisha mpeleka wakaishia kumpa folic acid
Nipe Idea ya pesa nimechukua namba yako tutawasiliana kama utakua interested nitakuunganisha na jamaa yangu akupe mchongo wa hiyo kampuni maana sasahivi Wana tenda ya kulinda bomba la mafuta
Mkuu acha dharau, nina ndugu yangu alifanya kazi unayoiita Mbwa kwenye moja ya kampuni tajwa, kituo chake cha kazi kilikua GGM.
Aliacha kua "Mbwa" kwasababu kampuni ilipoteza tenda kwenye hicho kituo enzi za Jiwe.
Lakini hadi anaacha kazi mshahara wake ulikua 900k na alikua anakula chakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.