DON'T DRINK AND DRIVE.
Hivi vitu viwili haviendani abadani.
Usije kujidanganya kuwa ukinywa ndio unakuwa makini,ipo siku isiyo na jina kitakukuta kitu.
Huu ulioandika ni ushuzi kama lilivyo jina lako. Toka lini mtekaji aliyefanikiwa kumtia mikononi mateka wake,akamuachie kwa sababu tu ya wabwekaji mitandaoni?
Nafikiri inawezekana kwa sababu kupitia semina, watu hupewa elimu ya ziada japo inaweza isiwe kwa kiwango kikubwa lkn pia njia zipi wahusika wapite ili kuweza kutanua ujuzi wa taaluma zao.
Haya yote uliyoyasema hayawezi fanyika kwa wakati mmoja kaka,ndiomana alilolifanya huyu mzee JPM ni sehemu tu ya hatua kuelekea huko.
Kama una kumbukumbu, mara kadhaa huyu mzee amezilalamikia mamlaka husika kwa kuwakamata watumiwa na vidhibiti lakini bado mahakama kushindwa kutoa maamuzi...
Hii vita Klyin hawezi kushinda, akubali matakwa ya huo ukoo,chochote atakachoambulia hakitakuwa haba kwake,isitoshe hana cha kupoteza na yeye bado ni kijana, otherwise atapotezwa na mali zote zitarudi kwa hao jamaa hasa ukizingatia watoto wake bado ni wadogo hivyo uangalizi utarudi kwa wakubwa zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.