Kumpa mtoto elimu ni muhimu sana ili aweze kuyamudu mazingira yake hata kama ajaajiliwa, ndugu tambua kuwa kuna utofauti mkubwa sana kiutendaji kati ya aliyesoma na mjinga.
Hii Kesi hao mawakili wa serikali wanaenda kukutana na peter Kibatala moto utawaka pale mahakamani, nasubili kwa hamu maswali yake.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Ata wakienda mahakani kupinga na wakaendelea kuwa wabunge lengo tayari limeshavurugika la kupata pesa kutoka kwa wazungu, hivyo kama serikari ilitoa pesa kuwashawishi imekula kwao maana kwa haya yanayoendelea ni dhaili wazungu hawatoi pesa.
Unaongea upuuzi kwani libya ilikuwa nchi ya namna gani? Unakalili vitu kutoka shuleni unataka kuviapply kwenye real life? Kwa hiyo ikiwa sovereignty state unaruhusiwa hata kuua raia? Ujinga kweli mzigo.
Lisu ana haki zake tulizeni mshono kwani mkituua nyie mtaishi milele? Ndo maana babu yangu alniambia polsi na mbwa tofauti yao ndogo sana, na ni wachache sana wanojielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.