Abiria akitoka miji mikubwa kama.. Nairobi.. Kampala, lusaka "Malawi.. Uwashushe boko.. Basi hamisha pia uwanja wa ndege pale,, upelekwe chalinze ndio akuna msongamano.. Tatizo ni miundo mbinu tu.......
Ww chizi. Tangu lini stand ya mabasi ikawekwa nje ya mji... Tena stand inatakiwa iwepo kariako Au mnaz mmoja.. Ndio city centre.. Au jangwani.. Uwezi kutoa watu mikoa alafu unawashusha boko.. Unasema unaondoa msongamano...tembea huone.. Nenda southafrica.. Pale Johannesburg.. Stand chini tran...
Je wakitoa kwenye haya mabox yenye nembo. Wakatengeneza mabox mengine wakiziweka huko watajuaje? Madawa yanatakiwa kuunzwa hospital tu..Au wangeanza na kupiga marufuku baadhi ya dawa ambazo zinahitajika kwa kiasi kikubwa.. Na wananchi ndio wangeanzia hapo kufuatilia.. Pia maduka binafsi...
Angepanda helicopter mpaka.. Chalinze.. Then aende zake.. Au angepitia bagamoyo. Msata. Chalinze.. Aende zake dodoma..... Hiyo ndio najua ingekua inamaa sana...
Shamba linauzwa misugusugu.. Mita Mia 700..kutoka barabara kuu ya dar - mlandizi .. Bei 15 kwa heka.. Limepakana na oryx.. Mawasiliano.. 0762455093.. 0767300088. Akuna dalali,,, bei itapungua kidogo kama utachukua zaidi ya heka kumi...
Mbona watu wanakesha misibani, kwenye club, na bar, kwenye maombi tunakesha... kwenye vituo tutashindwaje? Hata biblia inasema kesheni mkiomba.. Tunakesha kurinda kura zetu zote nchi nzima....
Moshi chadema wanachukua tena,, japo wa ccm anajalibu kutumia pesa kuhonga watu.. Na kufanya ubabe lakin.. Bado chadema inanguvu hasa kutokana na mafanikio ya miaka mitano baada ya kukamata manispal... Mambo mengi yamefanyika hasa barabara zimejengwa, zahanati,,na mengine mengi...
Huyo lizaboni,, atafanya watu wajinga... Umeona watu kariako leo wamefanya tafiti bila ya kwenda shule... Ukiona hivyo hata mkija na mbinu gani.. Tafiti za huakika ni tarehe 25,, wewe kama ungekuwa mwalimu. Ungekuwa wa general studies.. Lakin sio mtu unayejua hatima ya Tanzania.... Na
Hali ya...
Hizo ni tafiti za asubuhi,, jioni ukawa ndio mpango mzima.. Sisi atuangalii tafiti.. Kwanza wapiga kura hawajui maana ya tafiti... Tunamjua Lowassa ndio rais ajaye... Kama tafiti wakatuambie ni kiasi gani cha watanzania wanao kufa kila mwezi, kwa kukosa dawa Au huduma nzur hospital, kuhusu...
Wanadhurumu hata wazee watu? Sisi vijana je inakuwaje? Ndio maana tunataka tuwatoe madarakani.. Ccm inatakiwa kupumzika,, kwa kigezo kuwa inakuwaje raia wake wanateseka,, na kama kulitumikia taifa walishatumikia,, ccm wanaupungufu, na mungu anawalahani sasa.... Watoke tu.....
Kwanza cha kuujiuliza.. Twaweza wanafanya tafiti za kisiasa Au za Aina gani? Pili walitakiwa kutuambia wananchi kama kunatafiti wanafanya... Na wasinge kaa kimya ndio waibuke sasahiv.. Tatu watu waliowahoji tunauakika gani kama wameamua hivyo,,nne walitakiwa kushilikisha watafiti wa vyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.