Hiyo ni lahana kwa serikali ya ccm....wazee wanateseka sn na serikali imekalia fedha zao! Bora mkapa aliwapa japo kidogo sn ila awamu ya NNE waliandamana sn bila mafanikio yoyote! Machozi ya wazee hawa inaighalimu sn serikali ya Tz...
Wanadhurumu hata wazee watu? Sisi vijana je inakuwaje? Ndio maana tunataka tuwatoe madarakani.. Ccm inatakiwa kupumzika,, kwa kigezo kuwa inakuwaje raia wake wanateseka,, na kama kulitumikia taifa walishatumikia,, ccm wanaupungufu, na mungu anawalahani sasa.... Watoke tu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.