Ukimya wa Lowassa wakitia homa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Najua wajibu wa mbunge ni kutetea watanzania katika issue zinazo husu maendeleo yao, Lowassa umekaa bungeni miaka saba kimia bila kuchangia suala lolote linalohusu maendeleo ya watanzania leo hii eti unachukia umasikini wa watanzania.

Je ni kweli kutoka moyoni?

Je ulikaa kimia ili kuja kuifanya agenda yako ya kisiasa?

Nafikiri hauna dhamira ya kweli kutoka moyoni kama ungekuwa na dhamira ya kweli usingekuwa kimia bungeni miaka saba, hii haina mashiko kabisa,
 
Kimia,,,,,,,,,,mara ya kwanza nilidhani ni bahati mbaya, kumbe umedhamiria,, but its too late.
 
Kulikuwa na nafasi kwa CCM kufanya mabadiliko ya ndani, wengi wa wana-CCM walilitegemea hilo hata Lowassa alilitegemea hilo, Kingunge alilitegemea hilo, Sumaye alilitegemea hilo na wengineo wengi tu ambao wameamua kubakia kimya walitegemea kabisa lazima CCM ibadilike kwanza ili umma wa watanzania pia wayaone mabadiliko hayo na kurudisha imani - cha ajabu CCM imegoma kubadilika. sasa mwanasiasa makini lazima uwe na option "b"

Cha kufanya ni kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM - hii si dhambi - Lowassa na Sumaye wamejiunga na Treni la Mabadiliko na sasa tayari limeshapamba moto lina speed ya 180km/h milima ya Salanda kuelekea Kigoma.

Anayetaka apande, asiyetaka pia ni hiari yake.
 
Kama kuongea Bungeni ni kigezo ama sehemu ya maendeleo basi Asumta Mshama na jimbo lake na Nkenge lingekuwa New York. Ficha upumbavu wako.

Kuwa mzungumzaji bungeni kunaonesha mlengo wako na nia yako ya kutaka maendeleo ya nchi ye2 lakini tofaut na lowasa alikuw hafanyi hilo afu saiv anajifany anachukia umaskini
 
Magufuli ni chaguo la mungu ata mchakato umeonesha yote hayo wakati wa kumpata mgombea urais
 
Kulikuwa na nafasi kwa CCM kufanya mabadiliko ya ndani, wengi wa wana-CCM walilitegemea hilo hata Lowassa alilitegemea hilo, Kingunge alilitegemea hilo, Sumaye alilitegemea hilo na wengineo wengi tu ambao wameamua kubakia kimya walitegemea kabisa lazima CCM ibadilike kwanza ili umma wa watanzania pia wayaone mabadiliko hayo na kurudisha imani - cha ajabu CCM imegoma kubadilika. sasa mwanasiasa makini lazima uwe na option "b"

Cha kufanya ni kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM - hii si dhambi - Lowassa na Sumaye wamejiunga na Treni la Mabadiliko na sasa tayari limeshapamba moto lina speed ya 180km/h milima ya Salanda kuelekea Kigoma.

Anayetaka apande, asiyetaka pia ni hiari yake.

Mtoto halali na pesa subir October uone Magufuli anavoichukua ikulu kiulaini
 

Attachments

  • 1444032437925.jpg
    1444032437925.jpg
    38 KB · Views: 497
  • 1444032447993.jpg
    1444032447993.jpg
    35.3 KB · Views: 477
  • 1444032539873.jpg
    1444032539873.jpg
    24.6 KB · Views: 393
Najua wajibu wa mbunge ni kutetea watanzania katika issue zinazo husu maendeleo yao, Lowassa umekaa bungeni miaka saba kimia bila kuchangia suala lolote linalohusu maendeleo ya watanzania leo hii eti unachukia umasikini wa watanzania.

Je ni kweli kutoka moyoni?

Je ulikaa kimia ili kuja kuifanya agenda yako ya kisiasa?

Nafikiri hauna dhamira ya kweli kutoka moyoni kama ungekuwa na dhamira ya kweli usingekuwa kimia bungeni miaka saba, hii haina mashiko kabisa,

Hv bado huwa mnahangaika na huyu mmafiki aitwae lowasa?

Mnafiki
Mpiga dili

Ana tuhuma chungu nzima
Kuanzia wiz mpaka uuaji na utia sumu watu
Ya uzinz sijaisikia labda sabab ya ugonjwa wake mambo hayako vzur nw
 
Hao wabunge wa ccm wamechangia nini mpaka sasa,, ni bora ukae kimya... Kuliko kuongea pumba... Lowassa ndio kiongozi anayeweza kututoa...
 
TANESCO endeleeni kukata umeme tu ili hasira zipande zaidi kumkata Makufuri na ccm ya familia
 
Kama alikua na nia ya dhati kanini asiwapiganie maskini tokea akiwa Bungeni?
 
Back
Top Bottom