Kuna kila dalili CHADEMA na UKAWA watakataa matokeo ya Urais

Huyo lizaboni,, atafanya watu wajinga... Umeona watu kariako leo wamefanya tafiti bila ya kwenda shule... Ukiona hivyo hata mkija na mbinu gani.. Tafiti za huakika ni tarehe 25,, wewe kama ungekuwa mwalimu. Ungekuwa wa general studies.. Lakin sio mtu unayejua hatima ya Tanzania.... Na
Hali ya maisha ya watu.. Utarahaniwa na kizazi chako.... Ushasafili wewe Au mwisho Ubungo... Tafadhal kama una hoja nyamaza sio kuleta tafiti feki,, Au hata kama shule utakua na vyeti feki. Ndo maana unapenda feki issues......
 
ndo kwanza Kampeni zipo katikati eti ndo wakubali utafiti unachokisema wee...thubuutu unataka watu wagawanyike wakose ulaji? hapo ukweli wanaujua ila mimacho tu inawatoka kuona jamaa watafiti wanawaondolea kitumbua. Eti wanawaalika katika mdahalo wa kwenda kujitetea...ha ha ha aaa kweli Tanzania balaa. Tafiti za huko nyuma mlikuwa wapi? Leteni majina ya hizo kampuni zilizotoa matokeo ya utafiti wa ukawa kuongoza na sisi tuwaite waje wadefend sio kutoa kauli za kunyamazisha wataalam. Halafu hii tabia ikiendelea mtashusha morali za watafiti.......kwa vile to mnataka ziegemee upande wenu. Nahisi kama angekuwa kakakuona ndo mtabiri kweli mngemtoa roho. Hakuna kipya katika mbinu za tafiti na Twaweza wamepita humo humo walijua criticism zitatokea ila kuondoa utata na nyinyi muombe chombo sasa kifanye tafiti.

Raila Odinga alikuwa Rais wa Tafiti Kenya, Goodluck Jonathan alikuwa Rais wa Tafiti Nigeria, je leo hao pamoja na tafiti kuwabeba ni Marais wa hizo nchi? Tafiti haziwez kutoa majibu sahihi hasa kwa kuangalia Sampuli za watu wachache. Tuseme Mikoa tisa ile yenye wapigakura wengi kwenye hizo tafiti ilitoa watu wangapi kati ya mamilion ya Watanzania. Shangilieni kivuli lakini uhalisia, Magufuli HANA ubavu kupata asilimia 60 ya total votes!
 
Mmetumia nguvu nyingi sana kupinga utafiti wa Twaweza. Kabla mate hayajawakauka, Synovate wametoa na wao. Mnalo mwaka huu

Hayo mambo yamepangwa. Lakini Mungu alivyo mkubwa ni kwamba kila CCM akipanga njama wanajichanganya na kuacha clue nyingi zinazowaumbua. Na mlipokosea zaidi ni pale walipomtanguliza msanii Makamba kutoa utafiti wake fake... halafu mara TWAWEZA nao wakaunga mkono, na hao wengine Synovate nao wamefuata. Haya mambo yamepangwa na tunajua Makamba ndio negotiator wa yote! Jaribuni kuwa smart zaidi!
 
Kazi ipo
CCM Twaweza na Synovate wanacheza na 60% Ila huu wa ndani wa CDM ni 74% tukipata na mengine tutafute wastani.
Ila Synovate nayo ni ya kimataifa chini ya IPSOS taasisi ya tatu kwa utafiti duniani nao watakuwa wamelipwa pia
 
Wasiwasi wangu watavunjwa sana miguu baada ya kutangazwa matokeo,na nashauri wapigwe kweli
 
Hizo zilizopewa mamlaka, zimepewa mamlaka na nani? Acha ujinga, Lowassa lazima ashinde, pili ukawa awawazi kupinga matokeo kama nyie wezi wa kodi zetu!
 
I can smell blood in tz in order for us to success blood shed is inevitable and that is the price of freedom from our opposition revolutionary party (ccm)
 
Hawa Synovate/IPSOS walifanya maoni kwenye uchaguzi mkuu wa Kenya,wakampa Raila Odinga. Je leo Raila Odinga ni Rais wa Kenya
Aca uongo wewe. Synovate ni taasisi pekee iliyofanya utagiti na kuja na majibu kuwa Uhuru Kenyatta atashinda





10/3/2013
Uhuru and Ruto defy opinion polls to clinch Round One victory
Jubilee coalition has defied consistent opinion poll findings showing its presidential candidate Uhuru Kenyatta trailing Prime Minister Raila Odinga to deliver a victory in Monday’s General Election.


President-elect Uhuru Kenyatta and his Deputy President designate William Ruto. Photo/FILE NATION MEDIA GROUP


Jubilee coalition has defied consistent opinion poll findings showing its presidential candidate Uhuru Kenyatta trailing Prime Minister Raila Odinga to deliver a victory in Monday’s General Election.


The victory was sweetened by the fact that the alliance won the elections in the first round despite pollsters predicting a run-off was inevitable.


Since Mr Kenyatta and his running mate William Ruto formed the coalition, only one last opinion poll by Ipsos Synovate predicted that the pair would beat the Coalition for Reform and Democracy (Cord) of Mr Odinga and Kalonzo Musyoka.


The only Ipsos Synovate poll that predicted a UhuRuto win nearly two weeks before the elections gave the alliance a slim margin of 0.4 per cent. The firm predicted that Mr Kenyatta would win by garnering 44.08 percentage points compared to Mr Odinga’s 44.04.


But findings of three poll firms published just five days to the election showed that none of the two candidates would garner the half majority of votes required to deliver a first round victory.


All of them — as had been many other polls before— indicated that the country was headed for a run-off as Mr Uhuru and Mr Odinga were locked in a statistical dead heat of below the 50 per cent threshold.


In its last opinion poll, Infotrak Research, Consumer Insight and Strategic Research suggested that neither of the candidates was likely to clinch the seat in Round One.


However, the polls predicted correctly that Mr Mudavadi of the Amani coalition would emerge a distant third in the first round.


Infotrak Research said 46 per cent of voters would support Mr Odinga while 44.5 per cent would throw their weight behind Mr Kenyatta. Mr Mudavadi would come in a distant third with 4.3 per cent, according to the poll.


Consumer Insight Research said Mr Odinga would beat Mr Kenyatta, with 46.8 per cent against the latter’s 44.3 per cent. Strategic Research reported that Mr Odinga enjoyed the support of 45.7 per cent of those it polled, followed by Mr Kenyatta with 43.8 per cent.


The opinion polls also predicted that Mr Odinga would collect an average of 30 per cent of the votes from the populous Rift Valley.


But the actual results showed that the region, whose political kingpin is Mr Ruto, voted overwhelmingly for Jubilee. The region is home to 3.3 million voters.


However, Mr Odinga was able to collect 60,000 votes from the cosmopolitan Uasin Gishu county, home of Mr Ruto. He also did well in Narok, Kajiado and Turkana counties.


The Jubilee coalition also exceeded opinion poll predictions in northern Kenya, where it dominated Mandera county— taking almost all the seats. It also did well in Wajir and Garissa, contrary to predictions.


For a long time, the Jubilee coalition urged voters to ignore opinion poll findings, claiming the true surveys of how many Kenyans endorsed their candidature would be known on March 4. It has been known — they will form the next Government.
 
Raila Odinga alikuwa Rais wa Tafiti Kenya, Goodluck Jonathan alikuwa Rais wa Tafiti Nigeria, je leo hao pamoja na tafiti kuwabeba ni Marais wa hizo nchi? Tafiti haziwez kutoa majibu sahihi hasa kwa kuangalia Sampuli za watu wachache. Tuseme Mikoa tisa ile yenye wapigakura wengi kwenye hizo tafiti ilitoa watu wangapi kati ya mamilion ya Watanzania. Shangilieni kivuli lakini uhalisia, Magufuli HANA ubavu kupata asilimia 60 ya total votes!

ongeza swali hapo hapo Africa ina nchi nyingi ikiwamo Tanzania, Je, zote zina amani kama TZ? hii ndo Bongo usifananishe na manchi mengne....mmewakataa TWAWEZA, haya watumeni watafiti kutoka northpole tuone km hamjaharibu hewa
 
Kipaumbele namba 1,2na3 elimu bure hadi chuo kikuu haya nao hakiemu wanunueli na hayo mabilioni yao nao waje na tafiti zao za elimu had I chuo kikuu haiwezekani maana tumewashika pabaya
 
Raila Odinga alikuwa Rais wa Tafiti Kenya, Goodluck Jonathan alikuwa Rais wa Tafiti Nigeria, je leo hao pamoja na tafiti kuwabeba ni Marais wa hizo nchi? Tafiti haziwez kutoa majibu sahihi hasa kwa kuangalia Sampuli za watu wachache. Tuseme Mikoa tisa ile yenye wapigakura wengi kwenye hizo tafiti ilitoa watu wangapi kati ya mamilion ya Watanzania. Shangilieni kivuli lakini uhalisia, Magufuli HANA ubavu kupata asilimia 60 ya total votes!

Waacheni wajitekenye na kucheka maji ya shingo yamewafika wananunua tafiti!!!tukutane oct
 
magazeti yanasema tafiti wapondwa na wasomi...tutajieni bas hao wasomi, kigugumizi...
 
Tuko mbali na nini? Kenya, Zambia kote huko waliangukia pua. Nyie kunyweni Wine na kujipongeza kwa kupambwa na Tafiti, kuja kutahamaki munaangukia pua. Mark my words!
Ni kweli mkuu, halafu kuna wananchi waoga kiasi kwamba ukimuuliza uso kwa uso atasema ccm, lakini kwenye sanduku anachagua upinzani kwa vile hakuna anayemuona
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Magufuli atashinda ila ukawa na chadema kwa ujumla wanajaribu kujiandaa kuyakataa matokeo kwa kile kinachodaiwa huwezi yazuia mafuriko kwa mkono
Lakini ukweli ni kuwa wanachama wengi na wapiga kura hasa vijijin bado wanaimani sana na mgombea huyu wa urais kwa kuwa kazi zake zimeonekana
 
Back
Top Bottom