Habari za usiku wana jamvi,
Nakuja kwenu kuomba msaada kidogo gari aina ya IST ghafla tu kioo cha mlango wa dereva hakipandi lakini vingine vyote vinapanda na kushuka naombeni msaada wenu.
Wajumbe habari za mchana.
Kijana mwenzenu nimekwama jmn kwa mwenye conection ya kazi ya udereva pls tuinuane.pia kama kuna gari ya hesabu au mkataba uber na boltb AC nnazo.natanguliza shukrani.
Habari wakuu.
Kijana wenu hapa nina shida ya gari ya mkataba au hesabu .nina uzoefu na Uber na Bolt. Pia, kama kuna mtu anajua makampuni yanayo toa magari kwa mikopo tafadhali sana naomba kujulishwa.
SHUKRAN
Habari za usiku ndugu zangu.
Kilicho nileta hapa ni kujua jinsi gani naweza pata hati ya tabia njema. Mahali inapopatikana, vitu ambavyo natakiwa niwe navyo na gharama.
Wakuu habari zenu.
Jmn mimi ni kijana mtanzania natafuta ajira.nna uzoefu wa fundi gerej(nna cheti cha veta),dereva uber na piki piki(kusambaza bidhaa mbali mbali)
ASANTENI. SHUKRAN
umri:24
kazi:dereva piki piki,gari na bajaji
kabila:mchaga
elimu:4m4
wasifu:mnene kiasi mbavu,
rangi:metailk black.
dini:muislam
nahitaji mke ama mwanamke wa kuish nae ili nipate changamoto coz na relax.sana
sifa za bidada
umri:20to27
rangi:yoyote
umbile:asiwe mnene wala mwembamba
elimu:yoyote...
Habari wapendwa
Nauza tv flat aina ya digital inch22 haina tatizo bei 180000 na
Htc m8 bei 140
Ram 2gb
Rom 32gb
4g cm iko fresh haina tatizo
N.b exchange inaruhusiwa na samsung tu.asanteni
habari zenu wana ndugu,
nimejichanga changa nimenunua ka passo kwa mtu lkn cha kushangaza kinakula mafuta vibaya nikiweka mafuta lita 5 natoka kimara to tegeta nakurudi inakua imeisha mafuta tatizo nn wadau.
nakaribisha maoni yunu nashukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.