Kweli kabisa..Ibenge analipwa dola 54,000 kwa mwezi, approximately TZS 120,000,000 kwa mwezi
Jiulize kama mnasgindwa mconvince Nabi..mtaweza kwa Ibenge..baada ya kusgindwa maslahi mazuri kwa Faisal
Tafuta mtu akufunze Matumizi ya MasterCard, just imagine umekula mkeka wa milion na unatakiwa wakala akutolee
Do u think utapata hela yako, bora umejua kuwa mawakala ni utapeli.. Ungelia mbeleni
Music unapitia revorution kibao, ukichukua hiphop ya ya sasa ya akina Drake... Ni tofauti na Hip hop ya 90s ya akina Dre, Snoop, Rahakim, Easy E, Coolio,
Nadhani mtu kama Sugu aendelee kupewa heshima yake...Angalia BET hipHop award huwa wanatunza zawadi ya heshima kwa legendary artist.. Na...
Umaenda mbali, hata hapa bongo Wahindi wanaishi kariakoo hata kama ni maskini, ni wachache saana wameaanza kwenda kuishi kaeneo kama ya kimara
Wengi wahindi wanabanana kariakoo..utakuta muhindi hata Mwenge au sinza hajawahi fika
Kiswahili unakuta hawajui vizuri pamoja na babu zao kuzaliwa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.