Search results

  1. gwela2003

    Tetesi: Florent Ibenge karibu Jangwani

    Kweli kabisa..Ibenge analipwa dola 54,000 kwa mwezi, approximately TZS 120,000,000 kwa mwezi Jiulize kama mnasgindwa mconvince Nabi..mtaweza kwa Ibenge..baada ya kusgindwa maslahi mazuri kwa Faisal
  2. gwela2003

    Ipo siku tutakuja kujutia mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP World

    Mama kaingizwa chaka n watu wanaoutaka urais
  3. gwela2003

    CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

    True wafute final 2..na goal la ugenini
  4. gwela2003

    CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

    Al Ahly ndio walilazimisha pawe na final 2
  5. gwela2003

    CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

    Jamaa watajuta kwanini wasiwe na Final moja..maana sgughuli ilikuwa imeisha
  6. gwela2003

    INAUZWA Tangazo kwa wanaohitaji visimbuzi vya Canal+ Sports

    Canal sport game ya Yanga ipo channel gami
  7. gwela2003

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Japp sio kampuni nayotumia mara kwa mara...Wana opttion nyingi saana
  8. gwela2003

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tafuta mtu akufunze Matumizi ya MasterCard, just imagine umekula mkeka wa milion na unatakiwa wakala akutolee Do u think utapata hela yako, bora umejua kuwa mawakala ni utapeli.. Ungelia mbeleni
  9. gwela2003

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni watu kutojua kutumia simu..mutandao yote washajiunga na master card...ukishajiunga na mastercard unalipia directky hata 1Xbet
  10. gwela2003

    Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Music unapitia revorution kibao, ukichukua hiphop ya ya sasa ya akina Drake... Ni tofauti na Hip hop ya 90s ya akina Dre, Snoop, Rahakim, Easy E, Coolio, Nadhani mtu kama Sugu aendelee kupewa heshima yake...Angalia BET hipHop award huwa wanatunza zawadi ya heshima kwa legendary artist.. Na...
  11. gwela2003

    Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

    Hata Iddi Makengo hawezi kuandika stort ya hivi
  12. gwela2003

    Kwanini Makaburu hawapendi Amapiano?

    Umaenda mbali, hata hapa bongo Wahindi wanaishi kariakoo hata kama ni maskini, ni wachache saana wameaanza kwenda kuishi kaeneo kama ya kimara Wengi wahindi wanabanana kariakoo..utakuta muhindi hata Mwenge au sinza hajawahi fika Kiswahili unakuta hawajui vizuri pamoja na babu zao kuzaliwa hapa...
Back
Top Bottom