katika hali isiyo ya kawaida klab ya simba baada ya msoto wa miaka minne bila kombe wala jagi.imeona bora wafuate mfumo wa yanga kwa kuteua kamati ya mashindano.vp wadau mnaamin hii kamat kwa simba itawasaidia kupata kombe msimu huu?
Wanajf polen na majukumu ya sikukuu.
Waungwana nina mtoto wangu ana siku kumi,tatizo linalomsumbua kitovu chake kinatoa damu.Nimekwenda hospital Dr ameniambia niendelee kukiosha tu bila kunipa dawa.
Naomba mwenye kufahamu dawa au ushauri aniambie.
Nimepata safari ya kikazi nipo Hydom Manyara, sasa cha kushangaza nimejaribu mitandao yote hakuna mtandao ambao unatumia 3G.
Nikajaribu kuwauliza wenyeji wakanijibu kuwa hakuna mtandao unaotumia 3G. Nauliza watu wa vijijini hawana haki ya kupata huduma bora?
wanajamvi naomba msaada wa kitakwimu au uzoefu.kwa mfano wa mechi ya kesho kati ya barca na bayern,kati ya wachezaji wa barca kwa kuwa wana ufaham mfumo wa ufundishaji wa guardiola au guardiola kwa kuwa anafahamu uchezaji wa timu ya barca na wa akina iniesta.ni nani kati ya kocha na wachezaji...
kwa kipigo hiki wanachokipata leo bayern dhidi ya porto kwa kweli guardiola inatakiwa ajipange sana ili aweze kutamba champions league.baada ya kutoka ratiba ya robo nilisema bayern wamepata kibonde,kumbe.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.