Ndo maana nikataja maeneo niliyoenda ,tandika na karume ndo sehemu nilizoenda na hakuna helment na ndo sehemu wanaposhusha baiskel za mtumba ,kama ni kariakoo nielekeze tafdhali
Habarin za usiku rejea kichwa cha habar hapo juu nahitaji helment ya kuendeshea baiskeli au naweza kuoata wapi vifaa vya kuendeshea baiskel kama helment ,gloves miwan na vinginevyo nimejaribu kwenda tandika na hata karume wanapouza baiskel za mitumba sijapata aksanten nawasilisha
Habarini za usiku wana janvi wenzangu ,nimekuwa mfuatiliaji wa vyakula vya mifugo kwa ujumla kwa undani,laikini nimekuwa nikishangazwa na hiki kitu kinaitwa concetrate ambayo uchanganywa na pumba alafu na kuwapatia kuku kwa minajiri kwamba pumba kilo mbili inachanganywa na kilo moja ya...
Nimekuelewa sana kaka ngoja nijipange kwa ajili ya mbegu ,Je kilimo hiki hakifananai na zile story za jatropha , ufugaji kware ,na ufugaji wa sungura kweli maana wanaoanzishaga huwa wako vzur kwwnye maelezo
Habarini za mchana wanajanvi rejeeni kichwa cha habar hapo juu nimeoa na nina mke ila cjapata mtoto bado ninashida ya kuchelewa kufika kileleni na pia natoa shahawa kiasi kidogo ,hiki kitu kimenianza baada ya kufunga ndoa sikuwa hivi kabla nilikuwa na uwezo wa kwenda hata round tano ,hii...
Habari za jioni wanajanvi kwa uzoefu nilionao na utaalamu wangu kuhusu nguruwe naweza kukushauri hvi
Kwanza inabid ujue tabia za nguruwe anapenda au anahitaji nini ili akue vizuri ,
Tambua kwamba nguruwe wakiwa wadogo uhitaji joto kiasi jopo si kali sana na hata wakikua baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.