Search results

  1. D

    Ajira za walimu 35 elfu ni kwa mwaka wa fedha 2016/17 au 2017/18?

    Tujadili hili suala mana kuna mkanganyiko wa uletaji habari humu. Na je wanaposema wataajiri mikupuo miwili, ina maana kuna watakaochinjiwa baharini? Na huo utaratibu mpya utoaji ajira tofauti na miaka mingine naona kutakuwa na harufu ya interview au itakuwa direct?
  2. D

    natafuta dikoda ya azam tv

    anayeiuza tafadhali
  3. D

    Nahitaji flat tv screen

    nchi kuanzia25-32 weka bei hapa
  4. D

    Wenye kufahamu ni lini uhakiki utakwisha?

    vijana wanateseka, uhamisho hakuna, tumesikia wakisema ajira zilisitishwa miezi miwili tu lakini utumishi wao wanasema ajira hazijafunguliwa. mwenye kujua undani wa hili jambo atujuze mana tuliowachagua kila MTU anaongea lake wakati wote wapo kwenye serikali moja.
  5. D

    panya road wavamia mbagala charambe magengeni

    kundi kubwa la vijana wanaojiita panya road limevamia na kupora watu maeneo ya mbagala charambe magengeni huku wakisababisha foleni kubwa ya magari na kuleta hofu kubwa katika maeneo hayo. tukio hilo limetokea jioni hii ya saa kumi na moja. jeshi la polisi wapatao 20 walifika eneo hilo na...
  6. D

    Kufuzu AFCON 2017: Chad vs Tanzania

    CHAD VS TAIFA STARS Date:23.3.2016 Time:15hours EAT Timu ya Taifa Stars leo itakuwa uwanjani kupambana na timu ya Taifa ya Chad kwenye kombe la mataifa Afrika Nahodha mpya wa Taifa Stars ya Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ni tegemeo kubwa kwenye mechi na Chad. Taifa Stars ni ya...
  7. D

    Tanesco imeniunguzia vitu vyangu vya thamani

    Mpaka ninapoandika huu uzi TANESCO wameniunguzia friji, radio(subwoofer) pamoja jiko vyote vina thamani ya shilingi milioni 1 na laki 9. Tatizo ni kukatika kwa umeme mara kwa mara. Yani ndani ya lisaa umeme unakatika zaidi mara 20. Nishaurini ndugu wapi pa kudai mali zangu katika ofisi za...
  8. D

    Mtanzania badilika acha kulalamika, wakati ni sasa 2015 usije ukajuta tena

    Unalalamika kila siku. Miaka 54 imefika wakati mpaka mabinti wanalialia humu wanataka kuolewa. Hao vijana waoaji hawana kazi wamebaki kulalamika. Magufuli nae anatuambia 'hapa kazi tu" jk naye alituambia maisha bora kila mtanzania. Funguka kijana usikubali kudanganywa tena mwaka huu. Miaka 54 ni...
  9. D

    Vitambulisho vya kupigia kura havina ubora ukilinganisha na vya zamani

    Mtakubaliana na mimi hivi vitambulisho vya bvr(biometric voter registration) havina ubora ukilinganisha na vile vya zamani. hakioneshi wapi umezaliwa, mkoa,wilaya ambapo hata ukienda rita hawatavikubali tofauti na vya zamani. Sijajua serikali ina makusudi gani ila watanzania wengi...
  10. D

    Baraza la mitihani latangaza matokeo ya ualimu 2015

    Wandugu walimu, matokeo ya ualimu ngazi ya cheti na diploma yametoka leo saa tisa. Kuyapata tembelea www.necta.go.tz
  11. D

    Rais wa Uganda kushuhudia mechi ya CHAN: Uganda vs Tanzania

    Wakuu waganda wamejipanga kututupa nje ya afcon. Rais wa uganda yoweri kaguta museven ameitwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa leo kati ya uganda na tanzania ili kuwapa nguvu na hamasa vijana wake watufunge tena. Ikumbukwe wiki2 zilizopita tulipigwa 3-0 katika ardhi ye2. Hapa nimeshaandaa...
  12. D

    Kocha wa Taifa Stars asema tumefungwa magoli machache sana

    Akiongea kwa ujasiri mkubwa Martin Nooij kocha mkuu wa taifa stars amesema timu yetu imefungwa magoli machache sana na timu ya taifa ya Misri. Nakumbukua kauli yake kabla ya mechi alisema amejiandaa timu vizuri kwa kucheza pasi za haraka haraka na anamatumaini makubwa ya kupata ushindi...
  13. D

    taifa stars na kipigo cha mechi 3 ni aibu kubwa

    Tujichunguze wapi tumekosea kabla aibu kubwa haijatokea kuanzia mwezi wa6. Tusipokuwa makini Kundi tulilopangiwa tutagawa point zote.
  14. D

    Walimu tarajali ngazi ya cheti na diploma toeni tathmini hapa

    Nina imani mitihani yenu imemalizika kwa asilimia 95. Mkiwa mnategemea ajira zenu 2015/16 tunaomba mtupe tathmini ya mitihani yenu na matarajio yenu kama mnafaa kuajirika ama hamfai kutokana na jinsi mlivyofanya mitihani yenu. Mimi kama mdau wa elimu nawatakia matokeo mazuri.
  15. D

    Ni haki kumzuia mwanafunzi kufanya mtihani wa taifa? Sheria zinasemaje?

    Wakuu sheria za elimu zinasemaje kuhusu hili? Hivi ni haki kwa wakuu wa vyuo/shule kuwazuia wanafunzi kufanya mitihani ya taifa inayotolewa na baraza la mitihani la tanzania(necta)? Kisa mtoto hajamaliza ada? Naomba kujuzwa huu utaratibu umehalalishwa na necta au wizara ya elimu?
  16. D

    Vodacom vipi! Mbona line yangu haitumi meseji?

    Nashindwa kuelewa ni masaa manne sasa natuma sms zinafeli. Je mtapeleka masaa mbele kwa muda mliokata network au ndio ule msemo wa buyer must be aware?
  17. D

    Tabia ya Simba kukomalia mechi na Yanga ndiyo mana haiendelei

    Ni miaka zaidi ya mitatu timu yetu ya simba haijashiriki mashindano yeyote ya kimataifa. inaona kuifunga yanga pekee ndiyo imemaliza ligi kuu na kuchukua ubingwa. Matokeo ya leo kati ya yanga na mgambo yamedhihirisha kuwa hata mwaka huu simba haitacheza ligi ya mabingwa au ligi ya shirikisho...
  18. D

    Anatafuta kazi ya assistant procurement

    Jamani kuna ndugu yupo mtaani huu mwaka sasa. Ana diploma ya procurement and logistic management yenye GPA ya 3.5 kutoka T.I.A yupo tayari kufanya kazi mkoa wowote.
  19. D

    Nimfanyaje huyu mama mwenye nyumba? Hataki kunipa funguo zangu

    Habari za jumapili wana-JF Nimepanga nyumba moja chumba na kisebule, tangu nipange hapa huu ni mwaka wa tatu sasa.. Na hapa tunaishi na mama mwenye nyumba wangu, mwezi wa kumi mwaka jana nilisafiri mimi na mpenzi wangu kwenda kusalimia ndugu zangu, kabla sijaondoka wapangaji wenzangu...
  20. D

    Vijimambo vya wadada wakiwa posta-DSM

    Habari wadau, poleni na pilika pilika za kutafuta ridhiki. Nimeona niilete hii mada tuijadili hasa kwa wakazi wa Jiji la Dar-es-salaam. Mwenzenu nikitembelea Posta huwa nashindwa kuwaelewa hawa mabinti yani some time hata kumsimamisha mrembo huwa nashindwa. Mda wote wadada hawa wanajiona kama...
Back
Top Bottom