Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Nashindwa kuelewa ni masaa manne sasa natuma sms zinafeli. Je mtapeleka masaa mbele kwa muda mliokata network au ndio ule msemo wa buyer must be aware?
Nashindwa kuelewa ni masaa manne sasa natuma sms zinafeli. Je mtapeleka masaa mbele kwa muda mliokata network au ndio ule msemo wa buyer must be aware?
Hamia tigo
humu hawatakupa msaada
wapigie simu
kama unaweza pata instagram au facebook wafuate wanakusaidia huko huko mnamalizana
Wanazingua saana nilijua tatizo ni Mimi tu kumbe tuko wengi,kuhama kunatuhusu
Nimewapgia simu toka saa moja wanadai watarekebisha ndani ya dk30. Sasa hivi inaenda saa nne usiku mtandao ovyo kabisa huu na hakuna sheria inayowabana ili kurudisha angalau masaa yaliyopotea.
Kwa Tanzania hiyo ni ngumu kufanyika. Kama Tanesco wenyewe hawawezi kukulipa hata nyumba na mali vikiungua kwa sababu ya uzembe wao, iweje hayo masaa tu ya cheka?