Chama cha Wananchi CUF kimekanusha taarifa za kifo cha Maalim Seif ambazo zilianza kusambaa tangu jana jioni kwamba kiongozi huo amefariki dunia
Jussa Ismail Jussa, amesema taarifa hizo sio za kweli. Pia amezungumzia hali ya kisiasa mjini Zanzibar kwamba kwa sasa hali si shwari.
Nimekuwa mfuatiliaji wa mada zinazochapishwa na hii tovuti ya FikraPevu.com, leo wameweka habari inayohusu Jeshi la Polisi kutahadharisha Ongezeko la bei za nauli Krismasi na Mwaka Mpya.
Serikali imefanikiwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu waliotuma maombi mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa sehemu ya maelekezo ya Mh rais John Pombe Magufuli ya kuondoa kero na malalamiko ya muda mrefu ya wananchi katika sekta ya elimu.
Akizungumza na viongozi na wanafunzi wa chuo...
UCHUNGUZI umebaini kuwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka kumekuwepo na maandalizi makubwa ya msimu wa tohara kwa watoto wa kiume unaofanyika sanjari na ukeketaji kwa watoto wa kike katika maeneo mablimbali nchini, ambapo umeanza kuathiri mahudhurio ya wanafunzi shuleni.
Taarifa zaidi zinaeleza...
Taarifa zinasema Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewasilisha waraka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam akitaka kushikiliwa na kuzuiwa kwa mali zote za mtuhumiwa wa madawa ya kulevya, aliyejulikana kwa jina la Muharami Abdallah, maarufu kwa jina la Chonji na mkewe...
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam, Paul Makonda jana alikuwa amewataka Maofisa Aridhi na Mipango Miji kufika eneo la Nakasangwe Kata ya Wazo leo asubuhi kutoa ufafanuzi wa mgogoro wa ardhi lakini wao wakafika saa 5.
Sasa kaweka mahabusu katika Kituo cha Polisi Wazo Polisi na...
Wale Rais wa China wanne waliokuwa wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya wamefikishwa Mahakamani wakikabiliwa na mashtaka matatu.
Pembe hizo 11 zinazodhaniwa kuwa ni za Faru zinakadiriwa kuwa na thamani ya takribani milioni 900.
Aiyenipa taarifa hizi hajaweza kuelewa kwa haraka kuwa...
KAMPUNI ya Jamii Media, ambao ni wamiliki wa mitandao maarufu ya mijadala kwa jamii kupitia mitandao ya jamii,JamiiForums na FikraPevu nchini Tanzania, imelaani kitendo cha baadhi ya kundi/watu walioishambulia miundombinu ya kampuni hiyo na kuzuia kupatikana kwa huduma zake kwa siku kadhaa.
Kwa...
SERIKALI na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wana jukumu kubwa la kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili wawe tayari kuyapokea matokeo ya uchaguzi mkuu wasiyoyatarajia.
Huu ni wakati wa vyombo vya dola pamoja na vyama vya siasa kuheshimu maamuzi ya wananchi baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu...
Wakuu,
Asubuhi majira ya saa mbili nilienda hadi Posta Mpya kufanya shughuli zangu za kila siku, lakini nilipokuwa njiani kuelekea huko nilikutana na magari ya kawaida ya Polisi yakiwa yamejaza Askari, kuna wanaotoka Mjini kuelekea Morocco na kuna mengine yanaelekea Posta.
Nimepata dharura...
MKUTANO kati ya Msajili wa Vyama Vya siasa nchini, Jaji Fransis Mutungi, na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari uliofanyika Jijini Dar es Salaam, amesisitiza umuhimu wa wananchi kulinda amani ya nchi ambayo imekuwepo kwa muda mrefu kwa kuepuka vitendo ambavyo vitaleta uvunjifu wa amani...
Rais Jakaya Kikwete, Alhamis Wiki Hii anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Mradi huo wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo utakaokuwa wa aina yake Afrika Mashariki na Kati, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani bilioni 10.
Kwa mujibu wa taarifa...
Wakuu,
Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo.
=====
UPDATES:
JamiiForums imeongea na Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Jafari Mohamed na amethibitisha kutokea kwa...
Wakuu,
Katika kupitia mitandao mbalimbali ili kupata habari mbili tatu, nilikutana na hii ambayo imeandikwa na Gazeti Mtandao la FikraPevu.
Eti hapa nchini Serikali imekosa kampuni inayoweza kubomoa majengo marefu ikiwemo lile lililopo katikati ya Jiji la Dar es salaam ambalo liliamriwa na...
Kanisa la Waadventista Wasabato Mererani SDA Arusha, limteketea kwa moto kwa kiwango kikubwa ikiwemo sehemu ya Ofisi muda mchache uliopita.
Moto ukianza majira ya saa sita mchana lakini hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa kutokana na tukio hilo.
Mchungaji wa Mtaa huo wa Mererani, Furahini Mmbaga...
Hivi ndiyo wazazi wetu wanavyowaambia mabinti zao,
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33...
Wakuu,
Mamlaka ya Mawasialiano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa vyombo vya habari vinavyoendelea kuripoti habari za kampeni za uchaguzi unaoendelea nchini kuwa itatoa adhabu kali, ikiwemo kuwanyang'anya lesini wamiliki wa vyombo hivyo endapo vitakavyokiuka sheria zilizowekwa.
Kwa mujibu...
Mtoto Jovina Lwegasira (7) amekufa kwa kuraruliwa na kuliwa na kundi la Mbwa waliokuwa wakizagaa mtaani katika eneo la Malimbe Wilayani Nyamagana mkoani Mwanza.
Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo limetokea jana saa 5 asubuhi wakati mtoto huyo akielekea dukani ambapo pamoja na mambo mengine...
Ni dhahiri sasa kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewachanganya hata maadmin wanaosimamia ukurasa wa Facebook wa Sahara Media, muda mfupi uliopita wameweka habari ambayo haiendani na picha (wameweka picha ya Ridhiwani Kikwete nawakati habariinawataja CHAUMA.
LENGO mojawapo la Elimu ya Msingi Tanzania ni kumuandaa mtoto aweze kuingia hatua ya pili ya elimu yaani Sekondari na Elimu ya Ufundi lakini pia kumwandaa mtoto kuingia katika ulimwengu wa kazi na ajira.
Nikitafakari kwa makini naona ni wazi kuwa lengo hili halifikiwi kwani watoto wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.