NADHANI HIZO SABABU NDIZO ZILIZO WASUKUMA WALIMU WOTE WA MASOMO YA SAYANSI KUSAJILI CHAMA ,ILI BASI KWA KAULI ZA CHAMA KUPITIA WADAU KAMA NYIE,MAWAZO HAYA YAWEZE KUFIKISHWA PAHALA SAHIHI BADALA YA KUISHIA JF.
KIMSINGI NIWAPONGEZE WOTE KWA FIKRA ZENU PEVU,NA MADAME REBECA KUTULETEA MJADALA HUU...
Wewe unafanana na Mimi ila acha uongo,yaani wewe ulitoroka kama mimi.
Sasa cha kufanya JIAJILI MWENYEWE ACHA KUTEGEMEA SERIKALI BANA,KWANI MASOMO GANI?
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Habari za leo ndg wataalamu....
Usajili Bado unaendelea hivyo Kama Bado haujajisajili Basi chukua hatua.
NI rahisi Sana kufanya usajiri wala haichukui muda mrefu Kisha unaendelea na shughuri zako.
Asante.
Muhimu sana ndg Mwl.
Nasisitiza Tena, wote wenye nia na mapenzi mema na STAT naomba...
NAAMINI KWELI SHETANI ANA NGUVU,ILA FAHAMU USITENDE KITU KWA KUWAFURAHISHA AU KUTAKA FOLLOWERS.IMANI YA MTU NI MALI BINAFSI,ACHA UFITINISHI!
Sent from my itel it1702 using JamiiForums mobile app
Dada 'Mimi ni mama' ,naomba tuwasiliane with no joke,rather its so urgent.
My WhatsApp number is 0783059220.
Wishing you all successful day in Jesus Christ!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.