Ushahidi gani sasa? Kwamba kama ni kweli kulikuwa na show Iringa?
Au ushahidi kwamba Vodacom wamehusika kwenye hizo show?
Yaani team tembo hamueleweki.....!
Chama Cha Mapinduzi "CCM" kinawatakia wananchi wote bila ya kujali itikadi zao wala dini zao Kheri na fanaka katika msimu huu sikukuu za Christmas na Mwaka mpya 2017.
Umoja ni Ushindi.
Hata siku moja mwaka mpya hauji kwa muda mmoja kwa nchi zote duniani sababu ya utofauti wa masaa.
Mfano Zambia,DRC,Burundi na Rwanda zipo saa moja nyuma yetu kwahiyo sisi Tanzania,Kenya na Uganda "45°E" tutaanza kuuona mwaka mpya mapema afu baada ya saa 1 ndo kina Zambia wanauona mwaka mpya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.