Tuesday, August 02, 2016
DC TUNDURU JUMA HOMERA AWATIA MBARONI VIONGOZI WANNE KWA TUHUMA ZA KUUZA VIWANJA BILA UTARATIBU.
Mkuu wa Wilaya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera, amewatia mbaroni Viongozi wanne wa Serikali ya vijiji kwa kosa la usimamizi mbovu wa ardhi katika Vitongoji vya Umoja na...
DC TUNDURU ATOA MATUMAINI KWA WANANCHI WAKE
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akizungumza na wananchi wa kijiji cha Msinji kata ya Ligoma, Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma.
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akipokea risala toka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji...
MKUU WA WILAYA TUNDURU ATAFUTA MWAROBAINI WA KUMALIZA MGOGORO KATI YA WAFUGAJI NA WAKULIMA
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akizungumza na Wafugaji wote wa Wilaya ya Tunduru katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.
Wafugaji wa Wilaya ya Tunduru wakimsikiza kwa...
Jamani naomba kuhuliza mwenyekiti wa chama cha cuf prof lipumba yuko wapi kwani sikumsikia katika harakati za uchaguzi igunga may be inaweza ikawa sababu ya chama hiki (cuf) chini ya mtatiro kuwa na mapenzi ya karibu sana ccm hadi kufikia kusherehekea ushindi kwa pamoja.na jullius rutatiro...
jamani katika pita pita nimekutana na habari kuna mabinti wawili wa kitanzania wameenda kuiwakilisha tanzania katika bunge la vijana la common wealth huko uingereza kuanzia tarehe 6-10.ila nataka kujua utaratibu unaotumika nchini tanzania kuwapata wawakilishi kama hawa ili namimi niweze kwenda...
LEO ALFAJIRI MIDA YA SAA 11.30 NILIKUWA MAENEO YA AKIBA PALE CBE.KWA UPANDE WA PILI KWENYE OFISI ZA TaESA(WIZARA YA KAZI) PALE NIKAONA WANAPANDISHA BENDERA MUDA HUO,NILIVYOMWANGALIA ALIYEKUWA ANAPANDISHA HATA SIJAMWELEWA ALICHOKUWA AKIKIFANYA...NAOMBA MSAADA NIFUNDISHWE KAMA NINACHOJUA NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.