Kabura yakupewa mkopo bank ina taratibu zake nazani alizifata akapewa pesa ame shindwa kufata mikataba mlitaka nini kifanyike acheni uzushi bank haina kosa
Chaku shangaza nn msiwe wanjinga kupitiliza jamani nenda Mhimbili sasa hiv utakuta wakina mama wana jifunguwa kibao mimi leo mke wangu kani tolea toto lau kweri
Simba yanga hazita fika mbari kwa ujinga hu tatizo liko kwa wachezaji wenye mapenzi na timu pinzani bira kujari wako kwenye ajira waki pewa kitu kidogo tu kama mnakumbuka kuna beki alikuwa yanga mafuta mechi ya simba na yanga razima ampigie m2 bira sababu anapewa kadi nyekundu antoka yanga...
Yanga kama wanataka mambo yawe sawa wafukuze wachezaji wote wenye damu ya simba kama msuva yondan hawa fai kabisa ndo tatizo hata mechi ya juzi alie kuwa makin ali gunduwa k2
Sisi hatu juwi huwo wizi waturipe pesa zetu za mahindi sisi wakulima tunapata tabu sana hu ndo wakati wa kilimo mwezi wa tatu Ada za watoto shule tunategemea hizo pesa wawo wanajaza matubo tu bira kujari wanyonge
Jamani mbona serikali haijaturipa pesa zetu imechukuwa mahindi yetu mpaka sasa sisi wakulima tutaishije mbona zuluma hata sisi wanyonge kuweni na huluma rais tusadie hali mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.