Search results

  1. jorodan

    Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

    Mkuu uko upande gani naona unasambaza uzushi acha majungu
  2. jorodan

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Ww acha majungu ana umwa nn mbona hata ww unaumwa hatu semi
  3. jorodan

    Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

    Huyo membe ndo nn mambo yote lowasa
  4. jorodan

    Una mawazo ya Biashara lakini huna mtaji? Fuatilia mjadala huu

    Sasa mkuu mimi namtaji wa laki 2 nifanye nn ifike milion 100
  5. jorodan

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hakuna wa mwanza mimi niko dar mbezi A kama yupo wa mwanza mjin aje no yangu 0715822283
  6. jorodan

    Yanayojiri miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar 26/4/2015

    Mpuzi ww naona ume tumwa kama huku tumwa basi una kicha
  7. jorodan

    Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

    Kwanza kabulu hamjuwi komba
  8. jorodan

    Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

    Kabura yakupewa mkopo bank ina taratibu zake nazani alizifata akapewa pesa ame shindwa kufata mikataba mlitaka nini kifanyike acheni uzushi bank haina kosa
  9. jorodan

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Mkuu huyo ndo Rais wetu bwana majungu yako huko huko
  10. jorodan

    Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

    ----- ww habari ya yanga imekujaje hapo leo ni simba na beya city sasa habari ya yanga ime kujaje au ww bira kutamka yanga una washwa
  11. jorodan

    Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

    Ww mpuzi kweli shule za kata zina towa elimu gani ikwa shule nzima Ina walimu 3 mpaka 2 tu sasa hapo kuna elimu gani msipende kuleta udugun wa kijinga
  12. jorodan

    YANGA kama MCHARO wamekuwa WATAMU

    Matako yenu bonanza tu mna chonga njooni kwanye ligi mwaka hu mnashuka daraja waze wa bonanza
  13. jorodan

    Diamond kupata mtoto

    Chaku shangaza nn msiwe wanjinga kupitiliza jamani nenda Mhimbili sasa hiv utakuta wakina mama wana jifunguwa kibao mimi leo mke wangu kani tolea toto lau kweri
  14. jorodan

    Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

    Nyie hebu tupeni pesa zetu zamahindi hayo sisi hayatuhusu uwe umeiba poa tu tupeni chetu
  15. jorodan

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Wewe nenda bar 2 madem kibao
  16. jorodan

    Siku za kupiga kura zisiwe IJUMAA, JUMAMOSI AU JUMAPILI

    Simba yanga hazita fika mbari kwa ujinga hu tatizo liko kwa wachezaji wenye mapenzi na timu pinzani bira kujari wako kwenye ajira waki pewa kitu kidogo tu kama mnakumbuka kuna beki alikuwa yanga mafuta mechi ya simba na yanga razima ampigie m2 bira sababu anapewa kadi nyekundu antoka yanga...
  17. jorodan

    Maximo, Coutinho out Yanga, Pluijm na Tambwe ndani

    Yanga kama wanataka mambo yawe sawa wafukuze wachezaji wote wenye damu ya simba kama msuva yondan hawa fai kabisa ndo tatizo hata mechi ya juzi alie kuwa makin ali gunduwa k2
  18. jorodan

    Rais Kikwete, kutimua Mawaziri wezi si uamuzi mgumu

    Sisi hatu juwi huwo wizi waturipe pesa zetu za mahindi sisi wakulima tunapata tabu sana hu ndo wakati wa kilimo mwezi wa tatu Ada za watoto shule tunategemea hizo pesa wawo wanajaza matubo tu bira kujari wanyonge
  19. jorodan

    Manji akiri Simba imemshinda, Maximo anafikiriwa kwa sasa

    Na wewe unapaniki bonanza tu tumia busala usiwe mjinga
  20. jorodan

    Sababu za Rais kuchelewa kuchukua Maamuzi

    Jamani mbona serikali haijaturipa pesa zetu imechukuwa mahindi yetu mpaka sasa sisi wakulima tutaishije mbona zuluma hata sisi wanyonge kuweni na huluma rais tusadie hali mbaya sana
Back
Top Bottom