Watuhumiwa watatu wa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow wasomewa mashitaka leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa hao ni pamoja na Mkurugenzi wa Fedha wa benki ya BOT Julius Angelo ambaye Amekosa dhamana, Ofisa Mwandamizi wa TANESCO Steve Urassa na Leonard...
MKE NA MUME WAKIANGALIA MECHI YA ARSENAL NA CHELSEA:
WIFE: Baby, yule ni nani? Ni Chris
Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card
inamaanisha mchezaji atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light!
Yellow-...
WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900
Marehemu Swetu Fundikira enzi za uhai wake.
Watuhumiwa waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya Fundikira.WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.