Mimi ni HRO II niko Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Tanga ninatafuta mtu wa kubadilishana nae katia mojawapo ya mikoa ifuatayo Iringa, Dodoma, Morogoro na mwanza namba zangu za simu ni 0712203180,0769890903 na 0686200597 hii na mara tu mhe. Rais John Magufuli akiruhusu taasisi husika Tamisemi...
Mimi ni Afisa Utumimishi II niko katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Tanga Natafuta mtu wa kubadilishana nae katika mojawapo ya Mikoa ya Iringa, Morogoro na Dodoma mawasiliano yangu ni 0712203180, 0769890903,AU 0686200597
naomba kuuliza hasa kwa wale wenye uelewa wa kuuza duka la dawa ni kiasi gan kwa duka la standard kama unataka kufungua pia unapitia mchakato gani mpaka kupata kibali naomben msaada wa mawazo
Wanajukwaa mimi ninampango wa kufungua biashara tatwa hapo juu lakn cjui nianzie wap. na je ni kias gan unaweza kuanza nacho pia unawezaje kupata hzo line kwa gharama ipi tafadhal naomben mawazo yenu wadau
nawasilisha
wadau nilipata kaz kupitia sekretariat ya ajira nikapangwa halmashaur nipo mzigon tayar pia nimepata tume ya utumish wa mahakama zote ni post ya Hr. sijui upande wa mahakama pakoje. ahsanten wadau ikumbukwe niljkaa kitaa miaka 3 MUNGU akifungua njia hazuiliki wadau msikate tamaa ahsanten
Nitakuwa mnyimi wa fadhira kutokumshukuru Mungu na wanajamii forum.
Ambao hamjapata kaz kweli wakat ukifika Mungu anatenda nany pia msikate tamaa. Binafsi nilimaliza chuo level ya degree mwaka 2011 mpaka leo nilvoandka nimepata kaz kupitia secretariat ya ajira du Mungu acha aitwe Mungu...
Wanajamvi Bank of Tanzania wametangaza nafasi mbalimbal za kazi. Tusiogope kuomba kwan Mungu ndo anajua nan awe nani. tusihofu kwa kujua kuwa pale kuna vigogo na watoto wa vigogo ahsanteni
Kwa wale wakazi wa Mwanza na hata wasio wakazi wa Mwanza napenda kufahamishwa mahali lilipo kanisa la wasabato la Mabatini Mwanza pia na mahubiri yanayoendeshwa na na kanisa hilo kwa sasa popote jijini Mwanza. Ahsanteni.
wadau napenda kujua kwa baaadhi ya taasisi zinazowafanyia watu usaili lakini matokeo yake wanachukua muda mrefu kuwaita kazini.
Wengine huchukua takribani miezi miwili, mitatu, hadi mitano. Hivi tatizo linakuwa ni nini? mi ninachokijua ni kuwa unapowafanyia watu usaili ni lazima tayari bajeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.