naomba kuuliza hasa kwa wale wenye uelewa wa kuuza duka la dawa ni kiasi gan kwa duka la standard kama unataka kufungua pia unapitia mchakato gani mpaka kupata kibali naomben msaada wa mawazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.