Kwa wale wakazi wa Mwanza na hata wasio wakazi wa Mwanza napenda kufahamishwa mahali lilipo kanisa la wasabato la Mabatini Mwanza pia na mahubiri yanayoendeshwa na na kanisa hilo kwa sasa popote jijini Mwanza. Ahsanteni.
kwa wale wakaz wa mwanza na hata wasio wakaz wa mwanza napenda kufahamishwa mahal lilipo kanisa la wasabato la mabatini mwanza pia na mahubir yanayoendeshwa na na kanisa hlo kwa sasa popote jijini Mwanza ahsanteni
Panda gari yoyote inaayopita Musoma Road shukia Mlango mmoja.Vuka barabara upande wa pili kuwa kama unaenda posta B kuna kanisa karibu kabisa na makaburi ya waislam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.