UNAJUAJE LABDA TUNDU LISSU NDIE ALICOPY??
AG MPYA KAMZIDI TUNDU LISSU KWA MENGI
NI LECTURER
NI CHAIRMAN
TUNDU LISSU NI MWANAFUNZI ANAWEZA KUWA ANACHUKUA VITU KWA WATU SABABU ANA SEHEMU YA KUONGELEA,
TUNDU LISU NI MWANASIASA LAZIMA UJUE TOFAUTI YA MWANASIASA NA MWANASHERIA HAPO NDIO ANAKOSEA...
Kungekua na maraisi watano kama wa botswana TRUMP angonyooka na kuona waafrika wa sasa sio wale waliochukuliwa utumwa
Huwezi kuziita Africana country "shithole" halafu baadhi ya maraisi wanakaa kimya yaani kwa kiswahili cha kawaida "nchi za africa ni shimo la choo" huyu TRUMP lazima apimwe...
Katika watu wapotoshaji na wachonganishi ambao wanaweza kuleta hata vita Tanzania ni GWAJIMA
Mnamkumbuka ASKOFU KIBWETERE??
Bas ndio sample yake huyu
Ila katika watu watakao pata taabu za dunia ktk utawala huu ni huyu jamaa kuliko hata hao mafisadi system inamxemshia dawa yake kutokana na...
KESI YAKE ILIISHA??AU TUACHE MAHAKAMA IAMUE SAWA...
HAYO MAZUNGUMZO YAWE NA MATUNDA MAANA WENZIO WALIVYOUNDA UKAWA ULIWAKANA SASA UNAUNDA UKAWA 2020
TUSUBIRI NANI ATAKUA KIONGOZI WA UMOJA HUO AU NANI ATASHIKA BENDERA
UNAPOKUA KATIKA BOTI KATIKATI YA BAHARI UNAJARIBU KUZIBA MATUNDU MAJI YASIINGIE MKAZAMA HATA
UKIWA UNAZAMA HUWEZI KUPANDA KWENYE BOTI UTAITIA MATUNDU MZAME WOTE ETI "KIFO CHA WENGI" SHEREHE
SIASA BANA
Lowasa mbona hayupo?
Kweli wagombanao ndio wapatanao
Ndio maana unaambiwa mke na mume wakigombana usiingilie...
Zitto aligoma kabisa mambo ya UKAWA leo kaona kabaki peke yake anakula matapishi
Siasa kweli uzushi
KELELE ZOTE ZIMEISHA MARA MGOMO MARA HIVI... PESA SABUNI YA ROHO
ILA HUU UTARATIBU SIO RASMI ILITAKIWA KUWE ZA ZILE DAMMY CHEQUE AMBAYYO ITAONYESHA NI BOT(SERIKALI)KAMA CASH BAS NI KUTOKA MFUKONI
PAPAA PADLOCK[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Suala la ndoa kamwe halijadiliwi ktk kadamnasi ya watu tena usiowajua hata majina yao
Wakati mnatongozana mlitangaza??kwanza mi nahisi we huna mke wala maandishi yako hayaonyeshi kama umebalehe
Tatizo hela..,,je ukimfumania juu ya kiuno cha mtu sio unaua??dini zilisema wanawake tuishi nao kwa akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.