Habarini wapendwa hope muwazima wote,
Baada ya holiday ndefu kidogo now tumerud mzigoni tena. napenda kuwashukru member wezangu wawili Mafikizolo na loveissweet kwa kuja kunitembelea home tanga nimefarijika sana sana sikutegemea.
Mafikizolo nashukuru sana sana Mungu akuzidishie kila lenye...
Hi wadau wote wa chit chat.....niwatakie tu her ya xmas na mwaka mpya....
Tukiwa tunakimbilia mwishon mwa mwaka Rabbi akijalia...ni mengi tumechangia mengi tumefanya
Kwa had hapa tulipofika...kama kuna niliemkosea ninaomba radhi anisamehe kwa kile nilichomkosea....na ni vema ukawa waz nkajua...
I cant sleep because I have been thinking of you much.....I cant eat because all I do is think of you.... I cant concentrate because you are constantly on my mind..... I cant work because all I do is think of you.... I miss you so much it hurts..you have been running through my head all night...
leo nasherekea siku yangu adhimu.. The birth of me!! I am grateful to god for the gift of life Nawashukur wazaz wangu kwa kunilea maisha ya aman na upendo had hapa nilipofikia.
Happy birthday to me... I wish my self many more years of joy, love, laughter, health and prosperity..
Priii! Priii! Priii! Nimeamua kupiga filimbi na kutoa kadi nyekundu maana Azam kazidi!
TV Azam, maji Azam, juice Azam, unga Azam, malta Azam, nazi Azam, tomato paste Azam, keki Azam, biskuti Azam, ice cream Azam, maandazi Azam, chapati Azam, timu ya mpira ya Azam...
Heee, sasa tusubiri mimba...
Habari zenu,
Natumia Samsung galaxy pocket imekua ikinisumbua sana.
1. ukiandka msg keyboard inakua kama haina sense yoyote, hii had nizme sim niwashe ndio inakaa sawa.
2. ukifungua app ina load wee kama dakika nzima ndipo inafungua, hata JF app hua inafanya hivyo na hadi niende...
habari za mchana wana jamii forum
naombeni msaada,, ninataka kubadili picha huku nafanyaje hapa ndonilipokwama nimejaribu sana nimeshindwa kwa mwenye kujua naomba anisaidie
Kamau got 0% marks in an
exam
and was
surprised because all his
answers
were
seemingly correct!
Do you feel that he was wrongly
penalized?
The questions and answers
below:
.
Q.1- In which battle did Dedan
Kimathi Die ?..
Ans.- In his Last Battle..
.
Q.2- Where was the Declaration
of
Independence...
Wana JF habarini za kutwa nimejitokeza kwenu kuomba ushauri juu ya hili linalonisibu, nina mpenzi wangu anaishi South Africa kwa mwaka wa pili sasa.
Anataraji kurudi Disemba katika kipindi chetu cha mahusiano nimejitahid kua mwaminifu sijawahi msaliti japo mimi na mwanamke vishawishi vipo ila...
hi wanajf,,,, jamani naombeni msaada wenu. ninatokwa na vitu kama shatashata ukeni lakini havinuki wala nini nikikaribia period vinakua vizito i mean maji maji mazito please help
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.