Pole sana ticha, baadhi ya halmashauri huwa zinawasaidia walimu wanaojitolea ili wapate ajira, kuna binti mmoja amemaliza chuo mwaka jana tu 2022 na ameajiriwa kwenye ajira hizi kwa misaada wa halmashauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.