Mimi nilianza kubet tangu mwezi wa 8 mwaka jana, kwa kuanza tu nilimpiga mhindi wa Sportpesa t Sh. 610000/= ikafuata 430000/= ikafuata 600000/= nikamkosa kumpiga ml. 43, r. Madrid ndo aliniaribia nilikuwa na mikeka 9 yote ilikuwa tayari ikimsubiria Madrid dhidi ya betis kama sikosei na katika...
Juzi tu mwezi June ndo kazindua ndege ya abiria yenye uwezo wa kubeba watu 180, sasa kama hata ndege ya abiria ya kwake mwenyewe hakuwa nayo, hizo unazosema za kijeshi hatari kazitengeneza lini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama swala la kuwa na population kubwa ndo kuwa tajiri basi China angeongoza uchumi wa dunia na siyo usa. Angeongoza China akifuatiwa na india, lakini kwa kuwa hicho siyo kigezo peke yake cha kuwa na nguvu za kiuchumi basi ndo maana unakuta nchi zenye population ndogo kama UK ni tajiri sana...
Nafsi na roho si kitu kimoja, kuna vitu vitatu hapa mwili, nafsi na roho
1. Mwili ni huu tulio nao, damu na nyama na maandiko matakatifu yanasema: mwili na damu havitaurithi ufalme wa Mungu. Inamaanisha wanaoishi kimwili pamoja na kutaka kuuridhisha mwili kwa matamanio yake yote.
2. Nafsi ni...
Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mahakama ya juu nchini Kenya imeamuru time ya uchaguzi IEBC kuandaa uchaguzi mwingine ndani ya siku 60.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa, Mimi nikiwa maeneo ya Ilala mtandao unasimama wima kabisa ila nikija maeneo ya mwananyamala ujiji mtandao unakata kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionavyo Mimi ni kwamba mpaka sasa hujiamini tena, ila ninachokushauri, hilo tatizo lina ufumbuzi wake tena ndani ya mwezi mmoja tu utakuwa safi tu, nitafute nikupeleke kwa Dr. Wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka hata yule nabii Mzee wa kwenye biblia aliyeambiwa na Roho mt. Kwamba hatakufa mpaka atakapomwona masihi ( yesu) na baada ya yesu kuzaliwa yule Mzee alipomwona, alisema hivi " sasa Bwana waweza kumchukuwa mtumishi wako apumzike kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Rais wetu John Magufuli.
Sisi ni wananchi wa Kinondo mashariki kata ya Mabepande Wilaya ya Kinondoni.
Tuna mashaka sana na zoezi LA uhakiki wa ardhi linaloendelea hapa Kinondo Mashariki, kwa sababu zifuatazo:
1. Mkuu wa wilaya ya kinondoni amewajumuisha na wale wanaojiita wanamashamba...
Wana JF habari zenu,
Mnamo mwaka 2002 aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh. Yusufu Makamba alitangaza baada ya miezi sita kuwanyanganya ardhi wale waliokuwa wakimiliki mashambapori hayo kwenye kitongoji cha Kinondo Mashariki kata ya Mabwepande wilaya ya Kinondoni iwapo hawatayaendeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.