habari zenu wakuu,
kwanza natanguliza shukurani kwa msaada ntakaopewa,
computer yangu aina ya desktop (HP), pia ina RAM 1GB, WINDOW7, harddisk GB40,
nikiistall games zinagoma kuplay sijui tatizo ni nini,
naomba msaada kwa hilo.
Habar wakuu,
Naomba msaada kwa yeyote anayejua jambo ili la kuupdate software ya samsung galaxy s3, model SHV-E210S, android version yake kwa sasa ni 4.3.
Nimejalibu mala ya kwanza imenletea ujumbe wa 'fail to update use skt usim card ',
Pia Nmejaribu tena baada ya kutoa line na kutumia wifi...
Habar wakuu,
Mimi sina uzoefu kabisa na simu aina ya samsung na nmenunua galaxy s3 used, wasiwasi wangu ni kwamba nilipo watumia TCRA imei ya hii simu nimeambiwa kuwa simu yang ni 'samsung korea-samsung SHV-E210S'.
Lakini simu inapowaka inaandikwa 'samsung galaxy s3'
Imei yake ni 352905051381931...
Habari wana jamiiforum naomba nisaidiwe kwa yeyote mwenye ujuzi na jambo hili, simu yangu ni 'SONY Xperia v3+' ina 4gb internal storage' tatizo ni kwamba nikidownload apps inadownloadika lakin wakati wa kuinstall inagoma inaniandikia 'insufficient storage is available' natanguliza shukran
Habari wana JF.
Nina mdogo wangu kafanya interview ya kujiunga na VETA iringa na kwa sasa niko nae mbeya naomba msaada kwa wanaojua jinsi ya kuyapata matokeo kwenye internet au kwa njia nyingine nitashukuru kwa ushikiano wenu
Hi wanaJF
Naomba ushauri wenu
Girlfriend wangu ambae mwanzo mahusiano yalikuwa kama utani tu lakn kadr sku zlvyo zd kwenda tuljkuta tukpenda kiukwel na tatzo ni kwamba girlfriend wangu kanizidi umri wa miaka miwili na anataka tuoane nashindwa jinsi ya kukataa.
Sijui nifanyeje
habari zenu wanaJF.
mm ni mgen humu nna kama sku kadhaa na nnaomba samahan kwan sikujua kama kuna jitambulisha.
kwa kwel nmefuraiya sana jnsi elmu ya kmaisha inavyo tolewa hum, hakka kwa hz sku chache nmejfunza meng ambayo skutalajia kama nnge yakuta hum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.