Wadau naombeni msaada wa kujua faida na hasara za mfumo wa CAMBRIDGE kwa mwanafunzi anayesomea Tanzania.
Nahitaji kufahamu kwani nina mdogo wangu yupo shule moja, walimu wameshinikiza asome mfumo wa Cambridge, Je future ya mwanafunzi huyu wa kitanzania, anayesomea Tanzania kwa mfumo wa...
Wadau naombeni msaada wa ufafanuzi kwa anayeelewa vizuri mfumo wa Elimu wa Cambridge unaotolewa hapa Tanzania.
Mimi nina mdogo wangu tulimpeleka kwenye shule moja (private) kwa ajili ya masomo ya sekondari mwaka jana. Wakati wanafunga mwaka, wakaambiwa wakifika kidato cha pili watachagua...
The kilogram may need to go on a diet. The international standard, a cylinder-shaped hunk of metal that defines the fundamental unit of mass, has gained tens of micrograms in weight from surface contamination, according to a new study.
As a result, each country that has one of these...
Acha kutuongopea wingu! hapo kwenye red panahusika sana, mwenzio asa ivi yupo nyuma ya nondo,what abt u!! where are u now???
kama kweli upo nyuma yake always mfuate korokoroni vijana wa kova wakupe hifadhi kwa muda ndo tutaamini hiyo red statement..
jamani tunapopewa taarifa tusiwe wepesi kubisha, taarifa hizo ni za kweli..mabaki ya kanisa hilo ni kama inavyooneka hapo chini,mwenye macho haambiwi tazama. Habari yenyewe ipo chini, ukiendelea kubisha umeamua.
Muumini akishuhudia Kanisa la Pentekoste (MMPT) lililopo Buronge la Manispaa ya...
tatizo sio muislam kuchangia dini yake, tatizo ni hicho chombo alichochangia kinahamasisha uchochezi na kinajenga chuki baina ya waislamu na wakristo jambo ambalo ni hatari kwa amani na usalama wa nchi yetu..
wametoa vyuo vyote
Click the Links Below to view the list (arranged by the University Code alphabetically): 1: 2012/13 Loans Allocations List 1-A
2: 2012/13 Loans Allocations List 1-B
3: 2012/13 Loans Allocations List 2-A 3: 2012/13 Loans Allocations List 2-B 4: 2012/13 Loans Allocations List...
Wadau nisaidieni mi sioni list ya Heslb kwa wanafunzi wa SAUT, nilitegemea kuikuta list ya SAUT hapa kwenye list ya HESLB 4: 2012/13 Loans Allocations List 3-A (RU - SJ) badala yake kila nikifungua inakuja list sawa na hii ya hapa ya HESLB 3: 2012/13 Loans Allocations List 2-A . Ambaye ameona...
Askari anayetuhumiwa kumuua Daudi Mwangosi leo amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya mkoa wa Iringa na kusomewa mashitakata yake. Huku akiwa chini ya ulinzi mkali ambao ulifanya wanahabari waliofika mahakamani kujitahid kupata picha kwa ugumu.
Akisoma mashtaka mbele ya hakimu mkazi...
Nadiriki kusema NHIF wanaadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake ni wizi mtupu, sioni manufaa ya mfuko huo hata kidogo. Tangu nijiunge katika mfuko huo (kwa kulazimishwa na muajiri kwamba ni lazima kwa mujibu wa sheria) sioni faida yake hata kidogo zaidi ya maumivu kutokana na hela ninayokatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.