Waafrika kitu pekee tunachoweza kufanya kwa ubora kabisa basi ni KULALAMIKA KUKOSOA KUPINGA
Yaani sisi kazi yetu ni moja tu...... kuangalia NEGATIVITY tu kwenye kila kitu
Ni vile tu watu wavivu wa kusoma Historia au wanajisahaulisha tu
Dunia tunayoishi sasa ni dunia bora na salama kabisa ukilinganisha na dunia za enzi hizo
Mkuu issue ya majina kutofautiana sio tatizo kwa NHIF pekee, taasisi zote ukienda majina yametofautiana ni LAZIMA uwe na supporting document za kisheria kuonyesha kwama Amina Aly ndio Amina Mkude
Kama amebadilisha jina kwasababu ya Mume basi cheti cha ndoa kinatosha
Kama ni sababu zingine...
Strategy wapo vizuri kwa watu wa miji mikubwa sio mikoani, hawachagui wanalipia gharama zozote zile ila wanavifurushi vyenye ukomo
Mfano kifurushi cha Muhusika anawekewa 5M kwa mwaka na tegemezi wanawekewa 1M kwa mwaka
Ukiwa unakwenda hospitali kubwa za private kama Agha Khan bei zao...
Kwahiyo UNAUMIA sana marehemu kupewa sifa kede kede? Ukaona hapa haiwezekani ngoja na wewe umwage mabaya yake kede kede?........ Mkuu ukizeeka utakuja kuwa MCHAWI WEWE
Kwa mazao ya muda mfupi kama mboga mboga mbolea ya kuku mbuzi sungura inafaa zaidi maana inakupamatokeo ya haraka lakini haidumu shambani
Mbolea ya Ngombe ni ya muda mrefu na hutumika kwa muda mrefu, inafaa zaidi kwa mahindi mtama nk
Sina uzoefu na samadi ya kitimoto
Ukisoma comments za wananzengo hapa ndio utajua kuna watu wengi sana wanaishi maisha ya kuigiza ili kuwaridhisha watu wengine badala ya kuishi na kifurahia maisha yao
The likes of Kibonde Gardina walikua wanaishi maisha yao waliokuwa wanayafurahi bila kujali wengine mnawachukuliaje
Kikubwa ni...
Mkuu mimi sijui chanzo cha dunia
Scriptures za kidini zimejaa hekaya tupu na zinapingana kwasababu zimeandikwa na watu tu kama wewe
Sayansi haijui, ilichofanya ni kutengeneza THEORIES tu
Scriptures na sayansi wanatofautiana sana
Mimi ni muumini mzuri wa sayansi lakini Napata tabu sana kuanza...
Ok ngoja nikubaliane na tafsiri yako kwamba Energy sio Matter
Turudi kwenye hoja sasa
mwanzo(time), anga(space), ardhi(matter) na The Creator of the universe(Supreme energy).
Nipe darasa hapo kuhusu uumbaji wa dunia
Mkuu
Masahihisho, TIME+SPACE+MATTER
ENERGY ni MATTER
Nijuavyo mimi nje ya hii nadharia maana yake ni kuwa NOTHING EXISTS
Nikama vile useme MAJI ni mchanganyiko wakitu fulani na kitu fulani..... which means bila hivyo vitu maji HAKUNA
Mkuu waajiriwa wengi sana wakipata hela nyingi za ziada wana opt kununua hisa au bond au fixed deposit kwasababu zifuatazo
Muda wa kusimamia biashara
Watumishi hawana muda kabisa, jumatatu hadi ijumaa au jumamosi kila siku aripoti kazini saa 1 asbh na anafika nyumbani saa 2 usiku hoi
Biashara...
Mkuu hizo biashara zipo nyingi sana tatizo ni moja tu..... experience
Asilimia 70 ya biashara mpya zinakufa baada ya mwaka mmoja kwasababu ya ukosefu wa uzoefu ikiwemo nidhamu ya biashara
Asilimia kubwa ya watakao kupa ushauri humu hawajawahi kufanya biashara yoyote zaidi ya kusikia biashara...
Mkuu bank wapo wazi wala hawana longolongo kabisa ukifika ofisini kwao
Tena uzuri wa bank za bongo zipo ambazo wanachukua faida yako kwa mwaka na wanaigawa mara 12 halafu unaanza kupokea kwa kila mwezi faida yako kwa mwaka
Na bado kama hela yako ni ndefu sana kuna uwezekano mkapatana...
Mkuu kwa mfano mtu binafsi tu kaunga nyumbani kwake
House girl au kijana wa kazi na watoto wakiwa wana stream 4k videos youtube kwenye Tv halafu ukiunga majirani kadhaa na hotspots na wao waka stream na kudownload movies/series inakwisha kabla mwezi haujakwisha
Kuna jamaa mtaani ameunga hii...
Allah?
Jehova?
Yesu?
Zeus?
Thor?
Sun?
The list is endless
Be specific Mungu yupi unamuamini mkuu ili tukijadili tusichanganye na Mungu wengine maana People created so many of them
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.