Habarini sa asubuhi wapendwa!naomba kujua nasikia matokeo drs la saba yametoka nimehangaika kuingis ktk web ya necta siyaoni sasa naomba mwenye kujua link anipe nimchekia kijana wangu.
Jamani kuna huyo ndugu yangu namleta kwenu kwa sifa tajwa hapo juu na kwa kuongezea anayo leseni,anatafuta kazi ya udereva magari yeyote anaendesha,hvo ukiwa wewe mwenyewe rafiki,ndugu yako au rafiki yako anahitaji dereva tusaidiane kwa hili please ,!yeye anapatikana Dar es salaam. Lakin pia...
Habarini wadau,ninaomba kupewa uelekeo kwa wenye uzoefu huu,kama ninakwenda mkoani geita kutokea mikoa ya kaskazn hususani Arusha kwa mabasi ni njia gani wanatumia,na naul ni sh.ngapi?Tafadhali
Habarini wadau,
Mimi ninakerwa sana na hawa wenzetu, kwani yamenitokea una kuta unampenda mtu kwa dhati na una nia nae nzuri tu,lakini akigundua hivo maringo yanazidi hadi kuboa, wakati swala la mapenzi na la wote.
Kwanini hivi jamani?Niwape tu mfano kuna dada mmoja amekuwa na hiyo kawaida...
Natumaini wote mupo poa humu ndani,hivi majuzi kuna ndugu yangu mmoja kanitaka ushauri,kuwa ana rafiki yake wa kike ambaye yeye mme anampenda sana ila huyu bibie haeleweki,hasa ktk kuwa wazi kama anampenda kijana.
Mara ya mwsho majuzi bibie kamtembelea mkaka nyumbani kwake huyu ndugu yangu...
Jamani binafs napata utata ni wapi tunaenda kufanyia usaili ktk hii taasisi?maana tangazo lao sekretariat wamesema ktk ofis zao,so ni huko lushoto au wana ofis Dar? Tujuzane please!
Habari wakuu!
Katika pita pita yangu na harakati ya kutafuta mke niliweza kuonana na binti mmoja kweli nilimpenda na tulianza mawasiliano nae baadae alinitembelea ninapoishi.
Kitu cha ajabu siku kanitembelea alipoondoka aliniambia nisimtegemee tena na aliacha mawasiliano,na mimi nikasita...
Habarini za asubuhi!napenda nitumie nafasi hii kuwatakia kila la heri members wote ktk siku ya leo hasa wale ambao wana ratiba ya kwenda huku na kule kwa maswala ya kufuatilia ajira.mm nipo ingawa kimya kingi sijawasahau tunazd kuombeanaaa!
wanajamvi namshukuru Mungu nimepata nafasi kat ya zle hr 101 kifup sikuwa na mtu utumish na niliyemtegemea ni Mungu aliye hai. So tusikate tamaa tuwe na imani ipo cku na wewe utaweka uzi kama huu humu,amin.Nakumbuka nilisoma uzi kama huu humu jf nikawa siamini kama lakini Mungu alinitia moyo...
Jamani habarini,naomba mwenye majibu ya hiyo shda yangu please kwani lengo nijaribu kuomba walau internship maana hal ni mbaya jamani,so kama una ndugu,jamaa au rafik ukini link nae itakuwa powa zaidi.naomba uni pm.Kifupi nimemaliza chuo mwaka 2012 shahada ya utawala,so tushkane mkono wandugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.