Range rover 99, 4.6 vouge blue, all the extras plus ps2. Head rest screen, all eletrics. Good working order 18 inches wheel, and ac. Please i want to sell it and just want to know how much will i get. Thanx
kwa raha zake, mambo ya foleni dar kwa nini, kutoka airport mpaka holiday inn itamchukua mtu masaa 2, so kwa helicopta ni dk15 tu kama una hela yako. ha ha ha ha:confused2:
mwenzenu anatafuta business huku Miami(wathungu) ha ha ha mbona wadada wa bongo mwajigamba hivyo? aisha loh sasa umehamua kutemebea uchi kabisa na ramadhani yote hii? u need prayers!
du hapo hata sielewi, kuna shoga angu nae ni tajiri kila mwezi yu abadilisha gari na kazi hana kiduka kidogo t cha kuuza vipodozi sinsa, usiku huwa anatoka na kurudi asubuhi, dhu nikaambiwa huwa anaenda kusali kwenye kanisa la mashetani! sasa hapo sikuelewa kabisa/
usijifungie chumbani we kuwa nae karibu sana, kama ni week end mwambie muende kutemebea kidogo hata kama ni umbali wa dk 10, mshike mkono, hugs, tell her you love her so much and you cant wait to meet the new born, mkate kucha, hivyo vitu vidogo dogo tu, kama unavuta sigara acha kabisa kwa...
heee how about mme, mie nataka mme mthungu mwenye pesa na elimu ya juu, awe anaishi Dubai na anaendesha Range Rover, awe mzee au kijana it doesnt matter, ony money matters! thank you. naishi manzese naitwa Ngema! ha ha ha:smilez:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.