MAAJABU MENGINE HAYA:Ninakufahamu: ni Mnyakyusa,unakijua vizuriKinyakyusa,umekulia Mbeya Unyakyusani,Umesoma darasa la kwanza mpaka Sekondari ndaniya Unyakyusa mkoani Mbeya. Ninajua baada yahapo ndo ulianza kutokatoka nje ya Mbeya??AJABU: Iweje baada ya hii miaka mitatuminnetu nilopotezana na...
Ufisadi Wa CCM unasababisha wote tuonekane mambulula. Leo mnatulazimisha tujadili serikali mbili. Je ni wapi rasimu ya katiba imetaja serikali mbili????? Kwani ni Kikwete anatulazimisha tujadili mambo yasiyokuwemo kwenye rasimu? Huyu jamaa must be mwehu aisee
Tumeponzwa na rais wetu. Yeye ni taswira ya wapiga kura wake. Yaani yeye ndo kaonrkana Ana akili kuliko Wa Tz woote, na hajui kwa nini nchi yake ni masikini ilhali Ina utajiri Wa rasiliamali. Faki yuu CCM. Faki yuu mafisadi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.