Kiama kitatokea siku ya ijumaa na unasema ijumaa ni siku ya saba kwa kalenda ipi?
Kiislam siku ya kwanza ni jumapili Yaum li ahad.
Ijumaa inakuwa siku ya sita.
Na y
Siku ya saba ni jumamosi ambayo ni Yaum sabat.hiyo ya kiama ijumaa ambayo ni siku ya saba ni kwa minajili ipi?
Kama utani lakini unaumia hivo.
Kufanikiwa kuna hitaji ukomavu na roho ngumu haswaa.
Hapo ndo umeingia ulingoni sasa kadiri utakavokuwa unarudia hali yako ya zamani mdo kadiri utapingwa.
Utata uko juu yao/yake.
Rais alikuwa katika hospital ya jeshi.
Rais aliomba kuondolewa katila hospitali hiyo na hakuondolewa mpaka kafa.
Rais kaifia hospitali ya kijeshi.
Ila utata unaonekana watu wa nje ndo wamemdhuru Rais wakati alikuwa chini ya uangalizi wa kijeshi!
Ifike muda tukubali kifo...
Kidogo umekuja kuja..
Hapo kwa spiritual ndo code ilipo.
Tena sio code mchezo ni code haswaaa
We soma agano la kale zamani walivokuwa wakikosea waliluwa wanatakaswaje kule milimani na kufunga kwa siku 3..
Kuna vitu kuvielewa inahitaji kichwa kisiwe na madeni.
Gesi kuna wakati wamama huchoka sanaa aisee so unakuta anampa mtoto usiku nyonyo yeye analala mpaka mtoto ananyonya hewa tu.
1.nunua Grip water hii itamsaidia sana.
2.kama unahisi mambo ya uswahili usipewe dawa yoyote mkate tunywele kidogo kichwani mwake kisha hizo hizo nywele zake mfunge...
Swali langu lilikuwa kama kiwakilishi kwa waziri kuwa je na tende wanazotupa zimepimwa!?
Au ndo wanaamua kutilisha matango pori tu kisa vita ya kibiashara ya wauzaji wa mchele kutupa taharuki kiasi hicho.
Swali langu lilikuwa kama kiwakilishi kwa waziri kuwa je na tende wanazotupa zimepimwa!?
Au ndo wanaamua kutilisha matango pori tu kisa vita ya kibiashara ya wauzaji wa mchele kutupa taharuki kiasi hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.