Salama wana jamii, naomba kujua bei ya soko la mahindi kwa sasa kibaigwa, kiteto na maeneo mengine mahindi yanapopatikana kwa wingi,
Nakama mtu anaijua biashara hii ya mahindi naomba anisaidie uzoefu wake.
Nitafurah kupata mawazo chanya ya kujenga
Mbona kocha mkwasa ajalipwa mwaka sasa, anaendesha vip maisha yake na analipwa 25ml,
Kila mtu anajua anavyoenda maisha yake,
Inawezekana ndo kwanza anatumia pesa ya babu yake
Kiongozi mmoja alisema ni kazi rahisi kumtimua mtu ambaye ujamchagua wewe na nikazi ngumu kumtimua mtu uliyemchagua wewe
Ngoja tuone Rais Magufuli atafanya nin?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.