Nyumba yenye 5 rooms,Sitting & Dining rooms,Kitchen garama yake inakadiriwa kuwa Tshs.95,000,000.Vijana tunaogopa kujenga lakini ukianza substructure (Msingi). taratibu ukaenda kwa awamu kwa kudunduliza utafika mahali pazuri.
Wenu MKADIRIAJI GARAMA ZA UJENZI (Qs)
Habari za asubuhi ndugu wadau, kwa mara nyingine tena naomba mnifungue akili kuhusu huu mfuko wa uwekezaji UTT. Ukinunua vipande 61, 600, je vitauzwa ndani ya siku ngapi? Naomba wadau wenye uwelewa wa mengi zaidi wanijuze kuhusu UTT.
Thanks.
Navyoelewa mimi kwa wale wenye mzunguka mfupi, siku ya 12 na 13 baada ya hedhi na wenye mzunguko mrefu ni siku ya 14 na 15 baada ya hedhi kidume kinaweza patikana. Ila mwanaume ni vizuri apige mbao yenye mbegu za kutosha
Habari wana Jamii Forum,
Mimi ni kijana nimeoa na tuna mtoto mmoja.Tulihangaika na mke wangu kutafuta House girl baada wa yule wa kwanza kuondoka.Tukaja mpata House girl anapiga kazi kweli kweli, ila tatizo anakojoa kitandani usiku.Naomba msaada wenu nini dawa ya kuacha kukojoa kitandani...
Ukiangalia na ndio hivyo tume ya kuratibu mchakato wa kupata katiba mpya imeshaundwa. katika tume hiyo angalia walioteuliwa, utagundua kwamba ni lazima wafeve mambo ya OIC na mahakama ya kadhi
Mimi naona swala la kukaa miaka muda mrefu kwenye uchumba hilo si kigezo cha kusema kwamba kutamkomaza mtu kabla ya kuoana.Watu tunasahau,kikubwa awe ni mke mwema aliyechaguliwa na Mungu kwa ajili yake,na umri uwe ni 18yrs and above naamini hapo binadamu anaweza kufanya maamuzi ya msingi katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.