Mvua ikinyesha watu hawapiti njia za mkato (vichochoro) kutokana na kutokuwa na hali nzuri.
Pili kuna wale wenye magari ya kuegesha (yamechoka/lina hitilafu) au wengine hawapendi kutumia/kuendesha magari siku mvua ikidondoka yote haya yanatoka hata anaeogopa kuweka mafuta siku hiyo anapiga...
Kuhamia kabla sijaikamilisha, hii ilipelekea kupata wakati mgumu kukamilisha maana familia iko ndani ikabidi nianze kujenga nyumba nyingine inanipelekesha.
Napendekeza hizi kwa kufuata ubora na idadi ya magari
Machame (Saa 12, Saa 2 na Saa 7)
Arusha Express
Ngasere
Kuna mengine ukienda Area C utayapata tu akina MJ n.k
Aliopo nje anajiunga kupitia link hii International Money Transfer - Send Money Online | WorldRemit au playstore baada ya hapo anatuma kupitia mitandai ya simu (Tigo wako vizuri zaidi fasta unapokea) au bank na unachukua mpunga kiulaini kwa wakala. Siku hizi kuna Nala ila ni baadhi ya nchi japo...
Rais anatumia Economy?? Viongozi wateule watumie Economy? Nahisi unatania.
Pili, Msafara ukifika huko nje unafirikiri hawatumii magari?
Tatu, hujazungumzia perdiem zinalipwa kwa Dola na bado hotel za nyota 5 wa viongozi na wengineo.
Nne, umesema Land cruiser V8 lililotumika kama haya yetu...
Mkuu kuna uwezekano wa kuja kulia kwenye suala la kubadilisha fundi gari. Fundi nyumba, fundi nguo au fundi vitasa sijui unaweza ukabadilisha ila kwenye vyombo vya moto utakuja kulizwa sio kupigwa tu.
Ukiwa na fundi mmoja wa gari ni rahisi kutrack vifaa na rekodi ya gari yako. Mf. Akila masega...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.