Search results

  1. J

    Mgogoro wa kidini wafukuta habari copraration

    Etario napata shaka kuhusu akili yako. Madaraka hayapewi mtu yeyote bali ni yule mwenye sifa na mojawapo ni elimu. Wakati nchi inapata uhuru ni akristo wengi walikuiwa na elimu. Chanzo cha waislamu wengi kutokuwa na elimu ni waliozileta dini hapa nchini. Waarabu walileta dini wakajenga misikiti...
  2. J

    St. Florence Academy: Watoto kuibiana na utukutu ni moja ya somo

    Buguruni pole sana. Kweli malezi ya shule hii sifuri. Wanapaswa kutambua muda mwingi wa watoto huutumia shuleni wakirudi ni home works na kulala hivyo walimu wanalo jukumu nkubwa la malezi
  3. J

    St. Florence Academy: Watoto kuibiana na utukutu ni moja ya somo

    Duh hii kali zaidi. Malalamiko ni mengi ila mkuu wa shule akiona yamezidi najua atampa hela kidogo Kibonde wa Clouds FM amsafishe kwenye jahazi kwa maneno ya kipuuzi bila kushughulikia tatizo. Niseme wazi shule ile ina watoto watukutu na wa kukemea ni shule kwa sababu inawezekana home hawafanyi...
  4. J

    St. Florence Academy: Watoto kuibiana na utukutu ni moja ya somo

    Watu ningejua unakopatikana wallahi ningekutumia daktari wa Akili aje akupime.
  5. J

    St. Florence Academy: Watoto kuibiana na utukutu ni moja ya somo

    watoto wanaoiba wanajulikana kwa wanafunzi na walimu coz saa nyingine wanadokoa wakiwa wanaonekana. Wizi ni haza pale wanapokuwa mapunziko na mabegi wametindika madarasani kwao. Mtoto akitaka kwenda kusema kwa mwalimu anachimbwa mkwara mzito wa kubondwa. Yaani uswahiliiiiii kama zile shule za...
  6. J

    St. Florence Academy: Watoto kuibiana na utukutu ni moja ya somo

    Japokuwa maadili na tabia njema huanzia nyumbani ila shule naamini ina mchango mkubwa wa kuwafunza watoto hayo. Wizi baina ya watoto umekithir shule hii ukimpa mtoto kitu uhakika wa kurudi nacho mdogo. Na watoto kupigana nahisi labda ni mmoja wa michezo shuleni hapo. Nimeripoti kwa walimu na...
  7. J

    Kwa mhe. Rostam: Ahadi kwa familia ya danny mwakiteleko itekelezwe

    Wakati wa msiba wa Mwandishi Mwandamizi wa New Habari 2006 Ltd ilisikiaka ahadi iliyotolewa na mmiliki wa kampuni hiyo Mh. Rostam Aziz kwamba ataendelea kumlipa mke wa marehemu mshahara wa Danny kwa miaka mitano na pili atasomesha watoto wa Marehemu mpaka kufikia chuo Kikuu. Vyombo mbali mbali...
  8. J

    Mlimani city "kama nawatch movie"!

    Ni kweli mlimani city kwa mtu usiyepajua unaweza sema ma mtoni manake watu mbwembwe kibaaao. Ila ndio mabadiliko ya kijamii tena
  9. J

    Tanesco wanaendesha mitambo ya IPTL kwa tsh bilioni 15 kwa siku

    Mbona kama stori ina mkanganyiko saaana na umbea mwingi. Hamuoni kama Huyo Rugobonzibwa ndio kauza hiyo stori kwenye magazeti? yeye alikuwa hapati maslahi kusimamia IPTL?
  10. J

    Nini mustakabali ya new habari(2006) ltd- gazeti mtanzania

    je mh Rostam kaitema hii kampuni? Sababu ya swali langu ni sababu hali ya kampuni kila kukicha inazidi kuwa tete - Mshahara miezi zaidi ya miwili haijalipwa sasa? - Madeni ya kodi yanazidi kuisumbua kampuni japokuwa naye aliiandika IPP lakini hali kwake ni tete zaidi na Majembe na TRA...
  11. J

    Kkkt usharika wa sinza kuna nini katika ujenzi

    Nasikitika who cares unachangia mada usiyoielewa vizuri na sioni hata cha kukujibu sababu ungekuwa unasali hapo maswali yote ungejijibu. Naomba tena usivamie mada. Labda nikwambie moja tu kuhusu hela ya kutosha kama ipo au la. Nina uhakika ipo na kila msharika anajua na kuwa na uhakika na hilo...
  12. J

    Kkkt usharika wa sinza kuna nini katika ujenzi

    Kwangu mimi ujmbe utakuwa umefika na naamini something will be done. For you it is very low that is why your brain is at ICU but to others it is making some sense. God bless you
  13. J

    Kkkt usharika wa sinza kuna nini katika ujenzi

    Buguruni heshima kwako kwa ufafanuzi mzuri na nashauri mtu kabla ya kusiriki mada asome aelewe na si ajibu tu bora kuongeza posts
  14. J

    Kkkt usharika wa sinza kuna nini katika ujenzi

    Kuna ujenzi unaendelea katika kanisa hili ila tatizo kubwa limekuwa ujenzi umekuwa hauendi katika speed inayotakiwa japokuwa hela ya kutosha ipo ya kazi kuendelea Ujenzi umesimama kwa muda sasa na hatua hata ya kuweka madirisha haiendelei tena na uongozi wa kanisa hausemi lolote. HELA ZIPO...
  15. J

    Naomkutoa hoja kwa makanisa

    Naamini kwamba Tanzania imejaliwa kuwa na dini mbili kuu na kila moja ikiwa na madhehebu kadhaa. Kwa upande wa dini ya kikristo ninayoijua zaidi kuna madhehebu mengi ikianzia KKKT, RC, Anglican, AG na ministries kama kwa Kakobe, Mwingira, Mzee wa Upako, Ndegi, Sloam, Agape kwa Fernandez. Naamini...
  16. J

    New Habari mambo si shwari mshahara bado!

    Hivi lile fagio nililosikia limepita limeshaisha? Nimeambiwa lilimkumba na mdau mwenzetu wa Liverpool, Deo Ruta. You will never walk alone Deo.
  17. J

    New Habari mambo si shwari mshahara bado!

    Poleni waungwana. Na kama leo hakuna dalili it means ikifika monday wanakatiza mwezi hivyo tarehe 45. Mzee RA mambo Bungeni si yameisha fresh, awacheki washkaji basi au ndio kawasusa jumla
Back
Top Bottom