Habari za wasaa huu,
Leo nimeshtukia kuna hivo vitu vinaendelea kwenye mabega yangu.
Siwashwi wala sijiskii chochote
Imetokea sehemu zote mbili za mabega.
Hii inaweza kuwa tatizo gani.
MREJESHO
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wakuu niliaply post ya financial analyst B1 iliyotangazwa hapa katikati
Nimeitwa kwenye interview
Ningependa kufahamu kama kuna mtu mwenye uzoefu wa hizi interviews naomba anisaidie walau tips.
Regards
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgombea ubunge Jimbo la Ubungo
kupitia Chadema, Saed Kubenea
akionyesha baadhi ya kadi 100 za
kupigia kura ambazo hazina taarifa
zilizodaiwa kukamatwa hivi karibuni.
Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la
Wanawake wa Chadema (Bawacha)
ambaye pia ni mgombea wa Kawe,
Halima Mdee. Wagombea hao walidai...
Habari za wasaa huu mchumi mwenzangu Lipumba,
Tunaheshimu uamuzi wako wa kujiuzulu uliouchukua hivi karibuni, ni simanzi kubwa kwa wanaharakati wa mabadiliko nchini.
Kitendo hichi mpaka sasa kimezua maswali maswali mengi kuliko majibu,kimefanya juhudi zako zote za kupigania mabadiliko kuwa...
Habari wanabodi, ni matumaini yangu mnaendelea vizuri,
Imefahamika kwamba ukawa wanasubiri ccm ipitishe mgombea wake na atoke kwenye wale makada sita waliopo kifungoni, baada ya hapo watamshtaki mgombea huyo kwa sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010,
Ikumbukwe kwamba sheria hii inakataza kuanza...
Kama umesoma BA Economics UDSM na una GPA kwanzia upper second peleka CV yako na barua pale career centre pale UDBS, wanahitaji watu 10 kwa ajili ya ajira na 40 kwa ajili ya internship CRDB.
Habari za apa wanajamvi, naomba kujuzwa mitihani ya cfa,, chartered financial analyst hapa Tz inafanyika wapi? Na utaratibu ni upi kwa mtu mwenye degree ya economics au finance,, Thanks in advance!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.