Ni mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Sudan Kusini, John Garang, lakin yeye na Mama yake wamekuwa wakimpinga sana Rais wa sasa, Salva Kiir, na kumuunga mkono aliyekuwa Makamu wa Rais, Riek Machar.
Baada ya Makamu wa Rais kurudi masituni kupambana, jamaa nae akarudi msituni akiwa msemaji wa waasi...
Wakalenjin ni kabila kubwa, kumbuka chaguzi mbili zilizopita kolabo ya Wakalenjin na Wakikuyu ilikuwa na 45% ya Wapiga kura. Kwa sasa kinachowasumbua wakongwe ni namna gani ya kumtenganisha Ruto na wapiga kura wa Mount Kenya, Wakikuyu. Mpaka sasa hilo halijafanikiwa ukizingatia kuwa kwa Wakikuyu...
Mbowe angeheshimika sana kama angetoka wakati wa uchaguzi wa chama uliopita wakati chama kilipokuwa kwenye peak. Hakuutambua wakati wa kutoka na kuachia damu mpya.
Ukweli uwa unachelewa lakin hatimaye imeanza kuwaingia.
Nilichojifunza hapa ni kuwa kibali ni ghali sana.
Kwa spirit ya Umoja wa Wana Afrika Mashariki ni vyema kibali vya kuishi na kufanya kazi kwa mtu wa ndani ya Afrika Mashariki viwe chini, walau Laki 5 mpaka million 1.
Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.Kosa la Wajinga wachache huko...
Rakims ebu dadafua vizuri jinsi ya kujua nyote yako kama tarehe ya kuzaliwa na jina zipo makundi tofauti, dafafua kuwezesha mtu kucalculate na kupata nyota hasa ni ipi.
Rais Magufuli ni mcha Mungu, anamheshimu Mungu na anamtanguliza Mungu mbele kwenye kazi yake ya urais.
Ukiisikiliza hotuba nzima ya RC Mwanri utauona ipo vizuri, ni kosa tu la uchaguzi wa neno moja ambalo yawezekana limetokea kwa bahati mbaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.