Huyu Mratibu wa NIDA Mkoa kwa jina maarufu Odoyo
amekuwa akisumbua wakazi wa Kigoma kwa kuwafukuza ofisini kama wanyama, kuwanyanyasa na hata kuwatukana. Nilipopata taarifa hizo nikasema wacha nami leo niende kuchukua kitambulisho changu kisha nione namna ya kuzungumza nae kama raia mwema juu...
Buriani Bernard Membe, Mwanademokrasia
Mama Dorcas Membe pamoja na wanao
Ndugu Wafiwa
Viongozi na Waombolezaji wenzangu
Ndugu Watanzania
Nimepewa nafasi niseme machache ya kumuaga mzee wangu Bernard K. Membe, ni mzee wangu sana. Nimepata tabu kutafuta la kusema kati ya mingi ninayomjua kwayo...
Kindly find the attached company profile and of our cleaning company.
Our company was founded
on the principle of warm, friendly and efficient service. Our staff knows how to get the job done and we often exceed the expectations of our clients. We offer a range of services that we believe will...
Our company was founded in January, 2019 on the principle of warm, friendly, and efficient service. Our staff knows how to get the job done, and we often exceed the expectations of our clients. We offer a range of services that we believe will fully meet your needs, and no office is too big or...
Nawashukuru sana.
Leo nimechukua Fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la kigoma Mjini, nikiwa nimeambatana pamoja na Familia yangu, Ndugu, Jamaa na Marafiki.
Kigoma Tuitakayo inahitaji kiongozi wa kizazi kipya ambae kipaumbele chake cha kwanza iwe maslahi ya wananchi wake kwanza.
Natambua ukubwa...
Kesho tarehe 01/08/2020 nitachukua fomu katika ofisi za chama jimbo kuomba ridhaa ya kuteuliwa na chama kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Kigoma Mjini. Pamoja nami nitasindikizwa na ndugu, Jamaa na Marafiki. Nyote mnakaribishwa!
#PamojaTutashinda
WISTON MOGHA AJITOSA KWENYE UBUNGE KIGOMA MJINI (Kigoma Tuitakayo)
Na Mwandishi wetu
Ally Mahmoud
Wiston Mogha amesema ameamua kugombea nafasi hiyo ya Ubunge baada ya kugundua kero nyingi katika Jimbo hilo zimeshindwa kutatuliwa. Alisema ameamua kugombea Ubunge kwa ajili ya kuleta mabadiliko...
Mapema leo TAREHE 7/07/2020 ,majira ya mchana kupitia kwa wananchi wa samaria jimbo la Mtera,Livingstone Lusinde amekamatwa na Takukuru na kuwekwa chini ya ulinzi pamoja na kusitisha mkutano wake na wajumbe wa ccm, baada ya taarifa rasmi za uhakika kutoka wananchi kuwa imekuwa ni kawaida yake...
Mogha: ACT ilitumika kuibeba CCM uchaguzi 2015.
- Abdul Nondo bado mchanga kisiasa.
- achunge kauli zake
- aepuke kutumiwa na viongozi wa chama chake
Na mwandishi wetu, Kigoma.
Mwenyekiti wa NCCR mageuzi jimbo laKigoma mjini, Wiston Mogha amesema chama cha ACT wazalendo kilitumika kuisaidia...
NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA KUZALIWA ACT - WAZALENDO.
Nawatakia ACT-Wazalendo Maadhimisho Mema ya Miaka 6 tangu Kuanzishwa kwa Chama hicho, na nawaaga:
Mimi Thomas Msasa ni miongoni mwa watu 6 walioandikisha Chama cha ACT-Wazalendo kilichopata Usajili wa Kudumu Mei 5, 2014.
Lilikuwa ni jambo...
Ndugu wana habari, kwa majina naitwa Wiston Mogha niliyekuwa mwanachama wa ACT- Wazalendo.
Mnamo Machi 18, 2020 nilijivua uanachama wa ACT-Wazalendo na kuujulisha umma wa watanzania kupitia mitandao ya kijamii juu ya maamuzi yangu hayo.
Katika andiko langu la kuujulisha umma nilieleza kuwa...
Nimeamua kuchukua fomu, ACT-Wazalendo sasa inahitaji kijana wa aina yangu.
SIASA ni sayansi inayohitaji mchanganuo sahihi hasa wakati huu ambao takribani asilimia 70 ya wapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 watakuwa ni vijana.
Mwaka 2020 ni wenye matumaini makubwa kwa watanzania hasa kwa...
Tuna taarifa ya kikao kilichofanyika leo kati ya DC, DAS, DSO, Afisa uchaguzi wilaya na afisa uchaguzi msaidizi wa wilaya kwa watendaji wa mtaa na kata katika manispaa ya kigoma ujiji walioitwa ofisi ya mkuu wa wilaya na kupewa maelekezo kwenda kukata wagombea wa vyama vya upinzani hasa...
Waliotutenga Kimaendeleo Hawataki Tuwe na Chama chetu.
Hotuba ya Mbunge wa Kigoma Mjini kwa Viongozi wa Matawi na Kata za Jimbo la Kigoma Mjini, Viongozi wa Majimbo yote ya Kigoma na Uongozi wa Mkoa wa ACT Wazalendo
Ukumbi wa ACT Wazalendo Ujiji, 1/4/2019
Ndugu Wananchi wa jimbo la Kigoma...
MADIWANI,WATAALAMU NA WATENDAJI WA KATA KTK MANISPAA YA KIGOMA.UJIJI WAPOKEA MFUMO WA (GIS )KWA FURAHA KUBWA WASEMA NI MKOMBOZI WA UKUSANYAJI MAPATO NA UPATIKANAJI TAARIFA ZA UENDESHAJI KTK KUPANGA MAENDELEO YA MJI.
Madiwani, wataalam na watendaji wa kata zote 19 wa Halmashauri ya Manispaa ya...
KWA SHUGHULI NDOGO NDOGO NA VIKAO AWIMO BAR AND GUEST HOUSE INATOA UKUMBI, MUZIKI PAMOJA NA COCKTAILS BUREEE KABISA, NA ENDAPO NI SHUGHULI IHUSISHAYO WAPENDANAO kama Engagement tutawapatia zawadi ya chumba cha bure kabisa kulala kwa usiku huo wa tukio....
VINYWAJI VYA AINA ZOTE VINAPATIKANA HAPA...
Taarifa kwa vyombo vya habari.
Ndugu wanahabari,
Awali ya yote napenda kuwashukuru kwa kuhudhuria kikao hiki muhimu kwa ajili ya kuzungumzia mustakabali wa maendeleo ya manispaa ya Kigoma Ujiji ambayo ipo chini ya madiwani wa Chama cha ACT wazalendo, na hii inatokana na baadhi ya madiwani na...
Mwaliko wa Kushiriki Mjadala wa Maendeleo ya Mradi wa Tushirikishane Jimbo la Kigoma kupitia Meza ya Duara—Tanganyika
Tutakuwa na mkutano wa Meza ya Duara Jimbo la Kigoma leo Jumanne kuanzia saa 11 jioni. Mkutano huu ni sehemu ya mkakati wa Mradi wa Tushirikishane katika kuwafikia wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.