Kigoma: DC, DAS & DSO wawaita maafisa uchaguzi na kutoa onyo yeyote atakayempitisha mpinzani akatafute kazi nyingine

Wiston Mogha

Senior Member
Feb 13, 2014
149
96
Tuna taarifa ya kikao kilichofanyika leo kati ya DC, DAS, DSO, Afisa uchaguzi wilaya na afisa uchaguzi msaidizi wa wilaya kwa watendaji wa mtaa na kata katika manispaa ya kigoma ujiji walioitwa ofisi ya mkuu wa wilaya na kupewa maelekezo kwenda kukata wagombea wa vyama vya upinzani hasa ACT-Wazalendo na kwenda mbali zaidi kuwatisha kuwa mtendaji yeyote atakaethubutu kumtangaza mshindi alietokana na chama cha upinzani na ajira yake itakuwa imefika kikomo.

Kimsingi tunaona wazi kuwa maelekezo hayo yamewafanya watendaji kufanya kazi under pressure na kutotaka kabisa kutoa ushirikiano kwa wagombea wetu wanaopeleka rufaa zao baada ya kuondolewa kisanii kwenye mchakato mzima wa uchaguzi.

Tunajua kuwa watendaji wote walioacha mchakato huu kuwa huru wameambiwa kuwa watafukuzwa kazi.

Kikao hiki kimefanyika leo 06/11/2019 majira ya saa kumi mpaka saa kumi na moja jioni katika ofisi ya DC yenye kachumba kadogo na kuwabananisha watendaji wa kata na mitaa.

•Tunamkumbusha huyu DC na DSO kuwa mkoa wa kigoma una wenyewe na maendeleo ya mji wetu yataletwa na sisi wenyewe, hamuwezi kamwe kutupangia watu wa kutuongoza na kutupeleka kuifikia kigoma Tuitakayo. Tunawataka mfanye majukumu yenu kwa kufuata sheria na taratibu na sio kutuletea vitisho, kadhia wala manyanyaso.

•Na nyie watendaji wa kata na mitaa fateni sheria za uchaguzi msipokee vitisho kwani hapa ni kwenu na maendeleo ya mji huu yataletwa na sisi wenyewe acheni kabisa kupelekwa pelekwa kama mang'ombe...Akili za kuambiwa changanya na zako #Tusilaumiane

*Wiston Mogha*
#KeshoNyingi
06/11/2019
 
Wapinzani woote walio amua kushiriki uchaguzi huu ni wapuuzi kwani mnajua matokeo tayari yashapangwa alafu nyinyi mnamaliza rasilimali zenu
 
Kuwatishia na kupambana na CCM waliojitoa roho za ubinadamu na kujivika roho za uwenda wazimu ni hatari unaweza ukatwishwa kitu kizito utosini,ni heri ukae pembeni ushuhudie vichaa wanavyoserebuka na ngoma yao ukabaki salama.
 
Tuna taarifa ya kikao kilichofanyika leo kati ya DC, DAS, DSO, Afisa uchaguzi wilaya na afisa uchaguzi msaidizi wa wilaya kwa watendaji wa mtaa na kata katika manispaa ya kigoma ujiji walioitwa ofisi ya mkuu wa wilaya na kupewa maelekezo kwenda kukata wagombea wa vyama vya upinzani hasa ACT-Wazalendo na kwenda mbali zaidi kuwatisha kuwa mtendaji yeyote atakaethubutu kumtangaza mshindi alietokana na chama cha upinzani na ajira yake itakuwa imefika kikomo.

Kimsingi tunaona wazi kuwa maelekezo hayo yamewafanya watendaji kufanya kazi under pressure na kutotaka kabisa kutoa ushirikiano kwa wagombea wetu wanaopeleka rufaa zao baada ya kuondolewa kisanii kwenye mchakato mzima wa uchaguzi.

Tunajua kuwa watendaji wote walioacha mchakato huu kuwa huru wameambiwa kuwa watafukuzwa kazi.

Kikao hiki kimefanyika leo 06/11/2019 majira ya saa kumi mpaka saa kumi na moja jioni katika ofisi ya DC yenye kachumba kadogo na kuwabananisha watendaji wa kata na mitaa.

•Tunamkumbusha huyu DC na DSO kuwa mkoa wa kigoma una wenyewe na maendeleo ya mji wetu yataletwa na sisi wenyewe, hamuwezi kamwe kutupangia watu wa kutuongoza na kutupeleka kuifikia kigoma Tuitakayo. Tunawataka mfanye majukumu yenu kwa kufuata sheria na taratibu na sio kutuletea vitisho, kadhia wala manyanyaso.

•Na nyie watendaji wa kata na mitaa fateni sheria za uchaguzi msipokee vitisho kwani hapa ni kwenu na maendeleo ya mji huu yataletwa na sisi wenyewe acheni kabisa kupelekwa pelekwa kama mang'ombe...Akili za kuambiwa changanya na zako #Tusilaumiane

*Wiston Mogha*
#KeshoNyingi
06/11/2019
 
Rejected cowards will never last with their awkward techniques.. Mafia actions won't assist you anyhow..
 
Waache wafanye hivyo ila hawajui kuwa impact yake ni mbaya sana. Huwezi kulazimishwa kupendwa zaidi utazidi kuchukiwa tu!
 
Huyu dogo namfahmu aligombea udiwani ACT Wazalendo mwaka 2015 alishindwa. Na Wanawake hawakumpa kura kwa madai ni Shog.. Na alimsababishia presha Magonjwa ya Kusendeka Mama yake Mzazi.
kama ni kweli hayo madai ya kisodoma na ki liberali anayo ni hatari sana namjua fika huenda tu ni lile umbo lake la kuwa na makalio makubwa watu ndo wakajua ni gasho
 
Huyu dogo namfahmu aligombea udiwani ACT Wazalendo mwaka 2015 alishindwa. Na Wanawake hawakumpa kura kwa madai ni Shog.. Na alimsababishia presha Magonjwa ya Kusendeka Mama yake Mzazi.
Yule tipwa tipwa wa Tabora mbona mbunge...chuki ni zaidi ya uchawi
 
Duuuuu!kwakweli huu ni zaidi ya ujinga,nashauri wapinzani wajipange kuzuia uchaguzi,yaani siku ya uchaguzi iwe siku ya maandamano nchi nzima kupinga huo uchaguzi uliovunja sheria,na maandamano hayo yawe yasiyo na kikomo hadi madai ya wananchi yasikilizwe.

Sudan walikuwa waoga dhidi ya ukatili wa Al bashir lakini siku walipoamua liwalo na liwe ukawa ndio mwisho wa Albashir,si polisi ,jeshi wa la Usalama uliomsaidia Al bashir, Tanzania inawezekana kuupinga huu ujinga kwa nguvu ya umma.
 
Kigoma pitieni upya fomu zote za wagombea hasa wanaojiita ACT wazalendo

Hakuna Chama kilichosajiliwa kinachoitwa ACT wazalendo

Chama kilichosajiliwa kinaitwa Alliance for CHange and Transparency au kifupi ACT .

Ndivyo hata kwenye katiba kinavyotambulika.kama jina la chama

Kama Kuna fomu yeyote ya mgombea aliyejaza jina la Chama chake kwa kuandika ACT wazalendo au mhuri kugongwa ukiwa na jina ACT wazalendo nmwondoeni kwenye ugombea.upesi Kama mlishamtangaza mwondoeni
 
Tuna taarifa ya kikao kilichofanyika leo kati ya DC, DAS, DSO, Afisa uchaguzi wilaya na afisa uchaguzi msaidizi wa wilaya kwa watendaji wa mtaa na kata katika manispaa ya kigoma ujiji walioitwa ofisi ya mkuu wa wilaya na kupewa maelekezo kwenda kukata wagombea wa vyama vya upinzani hasa ACT-Wazalendo na kwenda mbali zaidi kuwatisha kuwa mtendaji yeyote atakaethubutu kumtangaza mshindi alietokana na chama cha upinzani na ajira yake itakuwa imefika kikomo.

Kimsingi tunaona wazi kuwa maelekezo hayo yamewafanya watendaji kufanya kazi under pressure na kutotaka kabisa kutoa ushirikiano kwa wagombea wetu wanaopeleka rufaa zao baada ya kuondolewa kisanii kwenye mchakato mzima wa uchaguzi.

Tunajua kuwa watendaji wote walioacha mchakato huu kuwa huru wameambiwa kuwa watafukuzwa kazi.

Kikao hiki kimefanyika leo 06/11/2019 majira ya saa kumi mpaka saa kumi na moja jioni katika ofisi ya DC yenye kachumba kadogo na kuwabananisha watendaji wa kata na mitaa.

•Tunamkumbusha huyu DC na DSO kuwa mkoa wa kigoma una wenyewe na maendeleo ya mji wetu yataletwa na sisi wenyewe, hamuwezi kamwe kutupangia watu wa kutuongoza na kutupeleka kuifikia kigoma Tuitakayo. Tunawataka mfanye majukumu yenu kwa kufuata sheria na taratibu na sio kutuletea vitisho, kadhia wala manyanyaso.

•Na nyie watendaji wa kata na mitaa fateni sheria za uchaguzi msipokee vitisho kwani hapa ni kwenu na maendeleo ya mji huu yataletwa na sisi wenyewe acheni kabisa kupelekwa pelekwa kama mang'ombe...Akili za kuambiwa changanya na zako #Tusilaumiane

*Wiston Mogha*
#KeshoNyingi
06/11/2019
Kwanini msiwaroge wapate wazimu wote kwa mpigo iwe fundisho?
 
Back
Top Bottom